Hizi likizo za Rais Magufuli ni tofauti na watumishi wengine?

Wote hatujui mkataba wa Rais wetu unasema nini kuhusu likizo pia hatujui hata mshahara wake pamoja na kwamba alishwahi kuahidi kuwa atauelezea umma wa watanzania mshahara kupitia salary slip yake anyway👇👇👇......for reference toka kwa mabeberu

The U.S. President is officially “on duty” 24/7/365 for his entire term in office. As such he neither has official vacation leave or sick leave. Even when he is on “vacation” or “sick” he is still the President with the full authority and responsibility of the position.
Hata akiwa ICU kama Boris Johnson? UK alimwachia Dominik Raab ku-deputize hiyo nafasi mpaka atakapopata nafuu ya kuendelea na kazi.
 
Nyie vilaza wa ufipa mnazidisha ushabiki yaani mbowe kama vile kawaoa wote.

Rais hata akiwa likizo bado yuko kazini na ndio maana hata kikwete alikuwa akiteua baraza la mawaziri akiwa mapumzikoni huko serengeti.
Wakuu wote wa vitengo vya kitaifa wanaripoti kwake kila siku na kila saa kutegemeana na unyeti wa suala husika ki maamuzi.

Sio kwamba kwa kuwa na uhuru huu wa kujieleza basi kila jambo ni la kurukia rukia.

Huyu mleta hii mada lazima ni mfuasi wa CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO aka chadema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukipata tofauti ya Likizo na mapumziko hapo ndo mjadala utakuwa mtamu

Na Sina hakika kama Raisi anaweza kuwa na Likizo,
Kuna mdau kauliza ni nani anamsainia barua ya likizo eti! Wadau hawataki kuamini kwamba rais ni mfalme..na ni mwajiri ...akiwa mahali popote Tanzania anafanya kazi zake vizuri kabisa na serikali inasonga mbele...
 
Watumishi wengi wa serikali kawaida husain likizo zao mara moja kwa mwaka au mara mbili(i stand to be corrected)

Inafahamika wazi rais ni sehemu ya utumishi wa umma, tangu huu mwaka uaenze amekwenda kwao Chato kwaajili ya mapumziko (likizo) si chini ya mara 4

Je hivi likizo zake ziko tofauti na watumishi wengine katika nchi hii?
Vipi malipo ya likizo zake nani huzigharamia?
Kwanza Rais hahusiki na sheria za kazi kama ELRA au Public service regulations, ni ofisi ya kikatiba, na Rais huwa anatakiwa apumzike kama sikosei kila baada ya miezi mitatu, anachagua akapumzike wapi, lakini pia unatakiwa uelewe kuwa kikatiba Rais atahesabika yupo katika ofisi,kituo cha kazi akiwa sehemu yoyote ya jamhuri ya muungano, na ikitokea ametoka nje atahesabika hayupo nchini kama atakuwa huko kwa kipindi kinachozidi masaa ishirini na nne.(this is the highest office)
 
Back
Top Bottom