Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,107
- 2,506
- Thread starter
- #61
Duh! umenikumbusha tukio moja huko Kasulu, kuna jamaa alipata post ya juu maana elimu yake ilikuwa ya juu, basi wale wa chini yake walimfanyia vitimbi, waliotesha kichuguu ofisini kwake kabisaa! Jamaa aliacha kazi hapohapo akajitimua zake!unapanishwa cheo leokesho unakuta nazi na unga unga mlangoni lol