Una digrii au huna? Au una ile aliyowahi kuisema Mrisho Gambo? Digrii ya nguo ya ndani!Mkuu hii dawa ya SUA binafsi nimeishuudia imewasaidia wengi sana mimi mwenye ni kiwa na mafua au kikohozi nikitumia mafua yanakata fasta nadhani labda utakuwa na shida nyingine au uliifungua ukaiacha wazi.
Najua unaongeza matangazo ya biashara za kitapeli tu! Chuo kikuu kinawezaje kujiweka kwenye mtego wa aina hii. University maana yake ni Universality. Kweli unaweza ukawauzia watu mchanganyiko ambao vilivyomo ni sawa na recipe ya chakula?