Hizi data za average IQ za Africa mzipuuze

Hizi data za average IQ za Africa mzipuuze

Traxtion

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2021
Posts
5,945
Reaction score
11,912
Hizi IQ tests zimefanywa kwa upendeleo tu na kuziwekea nchi za kizungu namba kubwa kwenye IQ tests ili tuzidi kuwaona ni superior, hii ndio tabia za hawa watu weupe.

Vipimo vya IQ vilivuofanywa na Wechsler Adult Intelligence Scale (WAIS) na Stanford Binet Intelligence Scales vyote vimefanyika katika nchi za Magharibi huko na sisi hata hatukuhusika kwenye upimaji.

Kwa hiyo mtoto anayetoka kijiji cha Rukungiri, Uganda, ambaye anaweza kutambua mimea 50 tofauti kwa harufu, na anaweza kufuatilia mbuzi, ng'ombe, na kondoo usiku wa giza totoro pasipo umeme, na pia anasimulia hadithi kwa ufasaha katika lugha yake ya asili, wanamconsider ana akili pungufu kuliko mtoto wa Ulaya anayesolve Geometry kwenye karatasi huko Copenhagen, Denmark?
Nonsense!

Inaonekana hivi vipimo vyao vya IQ havipimi stadi za maisha, ubunifu, uelewa wa mambo, au hekima, ila vinapima uwezo wako wa kusolve mafumbo au maarifa yenye asili ya Kizungu, ila ukiwa na maarifa ya Kiafrika basi una IQ ndogo Huu ni upuuzi mtupu, ambao umevikwa joho la data na kulemewa na wakoloni wa kizungu tu.
Ni kama vile kipimajoto kilichotengenezwa wakati wa baridi kali kinachopima joto la jua la kitropiki.

Bara la Africa lote wameweka kuwa waty wake tuna IQ ndogo
Kila nchi ya Africa iko na below average IQ
1753503904124.jpg


Waafrika tusikubali kuamini kila upuuzi wa wazungu ambao wenyewe wanaita research.
Research kama hizi zinalenga kuwafanya Waafrika wajihisi inferior mbele ya wazungu na wamefanikiwa kiasi kwa baadhi ya watu. Ila mimi nawashauri kama mna watoto wenu msiwaaminishe kuwa wazungu wana akili kuliko sisi, mindset kama hizi ndio zinafanya tusiendelee
Ukiamini kuwa wewe ni mbumbumbu mwisho utakuwa mbumbumbu kweli
 
Vitu vingi wanavyopima haviendani na mwafrika🤣hizo IQ ,GDP ,per capital income ni kuwaonea waafrika tu ..Mifumo wanaanzisha wao ila wanataka watu wote wawe sawa ..Ndio maana wakipima ukubwa wa uume ,bara la Asia linakuwa la mwisho ,hiyo ni asili yao.
 
Vitu vingi wanavyopima haviendani na mwafrika🤣hizo IQ ,GDP ,per capital income ni kuwaonea waafrika tu ..Mifumo wanaanzisha wao ila wanataka watu wote wawe sawa ..Ndio maana wakipima ukubwa wa uume ,bara la Asia linakuwa la mwisho ,hiyo ni asili yao.
Mkuu kwamba hawa kina Khanji kapoor twao tupo hivi 🤏🤌
 
Nini kimewahi kugunduliwa Africa hasa ya chini ya jangwa la Sahara??
Wewe jamaa, hizi ni data za average IQ kwenye kila nchi.
Hivi unadhani average citizen wa Ulaya anaweza kugundua kitu?
Hao watu wa miaka iliyopita waliofanya gunduzi hizo walikuwa ni wachache ty na walikuwa wana akili kuliko wazungu wengine, sio kwamba eti wazungu wengi ndo wana akili kama ulivyoaminishwa
 
Wewe jamaa, hizi ni data za average IQ kwenye kila nchi.
Hivi unadhani average citizen wa Ulaya anaweza kugundua kitu?
Hao watu wa miaka iliyopita waliofanya gunduzi hizo walikuwa ni wachache ty na walikuwa wana akili kuliko wazungu wengine, sio kwamba eti wazungu wengi ndo wana akili kama ulivyoaminishwa
Taja gunduzi za hao wachache Africa
 
Wewe jamaa, hizi ni data za average IQ kwenye kila nchi.
Hivi unadhani average citizen wa Ulaya anaweza kugundua kitu?
Hao watu wa miaka iliyopita waliofanya gunduzi hizo walikuwa ni wachache ty na walikuwa wana akili kuliko wazungu wengine, sio kwamba eti wazungu wengi ndo wana akili kama ulivyoaminishwa
Umeandika mpaka nimecheka yani hata miji mikongwe hatuna zaidi ya kuletewa na wakoloni au mataifa yaliyoleta dini alafu unasema IQ
 
Ka yanayoendelea saiz Tz unapingana na hizo data?

Ninyi mnauza mali zenu kijiyegemea hamtaki. Miaka yote toka mpate uhuru hata viwanda mlivyoachiwa na mkoloni mmeviua.

Bila Jiwe kukaza fuvu, hata hiyo SGR ingebaki kwenye makaratasi tu kama ilivyo Gas ya lindi kwamba watz watafungua gas kwa koki kwenye majba yao.

Wanapima kwa mambo mengi. Mamuzi ya nchi, viongoz wao n.k.

Fanya tafiti zako ulete kupinga hizo tafiti.

Ni sawa wanawaonea ila kwa nini mkubali kuonewa?

Ni lazima mtie mifumo yao?

Ninyi viongozi wenu waliwahi kuunganisha masomo ya fizikua na kemia kua fizikemia. Ni akili au walilazimishwa ili kupata msaada?

Wao wanast, na vitisho juu. Ukiingia umeisha na hapo wanaconclude IQ level yako.

Kule Bukinabe bila Rusia huyo traure wangemsepesha waafrika wenzake.

Wao wanaamini wanaweza kutupambia chochote tu kile, then hapo wanaconclude IQ zetu.
 
Achana na historia zilipendwa za story book ambapo mtangazaji mwenyewe hata kuelewa kingereza ni shida, leta uvumbuzi ulioboresha maisha ya binadamu
Sasa Kiingereza ndio elimu? Umeona jinsi akili yako inavyofanya kazi?
Wazungu walipokuja Africa walizuia kila kitu na kufuta kabisa vitu vyote walivyovikuta Africa kuanzia viwanda, mashamba etc
Sisi tutajuaje vitu vilivyokuwepo Africa before ikiwa History tunayosoma imeandikwa na mzungu?
 
Unawabishia tu Bure mkuu. Na ubishani huyo wako kwa jambo hili maoni yangu yanasema unabisha bila hoja. Huku hakuna kitu man. Ni aibu kujilinganisha na wazungu au wamagharibi. Wale wako mbali sana. Kuamini kwamba Afrika tuna vijana wenye iq kubwa kuzidi wale ni kuusaliti ukweli kwamba licha ya kuwa tuna miaka 50+ ya uhuru hatuna Cha kujivunia kwenye ishu za kiteknolojia, jeshi, siasa na uchumi.
Tumeendelea kuwa walewale chini ya kivuli Cha maendeleo ya wazungu. Tukiletewa simu janja basi tunakumbilia hata Mimi wakati hizi simu tulitakiwi tuzijenge hapahapa nyumbani.
Wale wanaonekana kuwa Bora kia Kili katika teknolojia za utabibu, bunifu mbalimbali, kijeshi na kiuchumi hukumbana na vikwazo maelfu vya kufikia malengo.
Lazima tuukubali ukweli huu kwamba Bado tupo nyuma na hizo data hata kama za uongo tulete zetu.
Walioleta tunakosoa wakati hatujawahi hata kuwaza kuleta data zetu juu ya hili
 
Unawabishia tu Bure mkuu. Na ubishani huyo wako kwa jambo hili maoni yangu yanasema unabisha bila hoja. Huku hakuna kitu man. Ni aibu kujilinganisha na wazungu au wamagharibi. Wale wako mbali sana. Kuamini kwamba Afrika tuna vijana wenye iq kubwa kuzidi wale ni kuusaliti ukweli kwamba licha ya kuwa tuna miaka 50+ ya uhuru hatuna Cha kujivunia kwenye ishu za kiteknolojia, jeshi, siasa na uchumi.
Tumeendelea kuwa walewale chini ya kivuli Cha maendeleo ya wazungu. Tukiletewa simu janja basi tunakumbilia hata Mimi wakati hizi simu tulitakiwi tuzijenge hapahapa nyumbani.
Wale wanaonekana kuwa Bora kia Kili katika teknolojia za utabibu, bunifu mbalimbali, kijeshi na kiuchumi hukumbana na vikwazo maelfu vya kufikia malengo.
Lazima tuukubali ukweli huu kwamba Bado tupo nyuma na hizo data hata kama za uongo tulete zetu.
Walioleta tunakosoa wakati hatujawahi hata kuwaza kuleta data zetu juu ya hili
 
Ka yanayoendelea saiz Tz unapingana na hizo data?

Ninyi mnauza mali zenu kijiyegemea hamtaki. Miaka yote toka mpate uhuru hata viwanda mlivyoachiwa na mkoloni mmeviua.

Bila Jiwe kukaza fuvu, hata hiyo SGR ingebaki kwenye makaratasi tu kama ilivyo Gas ya lindi kwamba watz watafungua gas kwa koki kwenye majba yao.

Wanapima kwa mambo mengi. Mamuzi ya nchi, viongoz wao n.k.

Fanya tafiti zako ulete kupinga hizo tafiti.

Ni sawa wanawaonea ila kwa nini mkubali kuonewa?

Ni lazima mtie mifumo yao?

Ninyi viongozi wenu waliwahi kuunganisha masomo ya fizikua na kemia kua fizikemia. Ni akili au walilazimishwa ili kupata msaada?

Wao wanast, na vitisho juu. Ukiingia umeisha na hapo wanaconclude IQ level yako.

Kule Bukinabe bila Rusia huyo traure wangemsepesha waafrika wenzake.

Wao wanaamini wanaweza kutupambia chochote tu kile, then hapo wanaconclude IQ zetu.
Kinachorudisha Africa nyuma kwa asilimia kubwa ni mambo ya kisiasa kuliko kukosa ubunifu.
Sasahivi tunaishi lifestyle ya wazungu na tunatumia elimu ya wazungu. Baada ya Watanzania wengi kupata elimu maana yake tulitarajia kuanza ubunifu wa kiteknolojia na sisi. (Kwa sasa ni kuendeleza vilivyopo kufanya viwe vitu vingine bora)
Africa ubunifu unafanyika vizuri tu, ukitaka kuona tembelea maonesho ya kiteknolojia yanayofanyika kwenye vyuo vikuu nchini utaona vijana wana idea nyingi sana na unaona kabisa mtu ni intelligent

Shida inakuja kwamba viongozi wa nchi ndio wenye low IQ na wao suala la kupambana na umasikini Tanzania walishakatia tamaa siku nyingi zilizopita, ndio maana vijana wenye ideas wanaishia mtaani au wenye bahati wanachukuliwa na nchi za wazungu

Africa haiendelei kwa sababu watu wasio na akili ndio wanashika madaraka, watu wenye IQ kubwa hawana nguvu kwenye jamii
 
Back
Top Bottom