Hizi ajali za kila mara vipi tena, ni wapi tunakosea?

Hizi ajali za kila mara vipi tena, ni wapi tunakosea?

Wimbo

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2012
Posts
886
Reaction score
664
Wimbi la ajali linaomgezeka, salamu za pole za Rais zinatolewa, watu tunahuzunika tunasahau Mara ghafla paaap, ajali nyingine tunahuzunika tunasahau.

Miaka mitano iliyopita ajali zilielekea kupungua hasa zile zinazopoteza uhai wa watu mengi, ni wapi tumelegea, wenye dhamana mko wapi, hatutaki Mama yetu alie kila siku.
 
Wenyedhamana waluonekana wanakandamiza so wamepunguza kukandamiza na ndo matokeo yake
 
Mzee wa Chattle mi nitamkumbuka kwenye hili for sure nowdays naogopa hata kutembea kwa miguu barabarani.
 
Wimbi la ajali linaomgezeka, salamu za pole za Rais zinatolewa, watu tunahuzunika tunasahau Mara ghafla paaap, ajali nyingine tunahuzunika tunasahau.

Miaka mitano iliyopita ajali zilielekea kupungua hasa zile zinazopoteza uhai wa watu mengi, ni wapi tumelegea, wenye dhamana mko wapi, hatutaki Mama yetu alie kila siku.
Polisi wamekasirika kila saa wanasimangwa utadhani wote hawafai.

Baadhi ya polisi wanafanya kazi zao kwa uaminifu na weledi na kuna wahuni wengine ni mashetani

Sasa. Samaki mmoja akioza. Wameona usiwe shida
 
Ni ajali tu mkuu,usiwaze
Ukafika mbali

Ni ishu tu ya madereva kupewa elimu zaidi,au kwa magari ya masafa marefu kuwepo madereva kuanzia wawili
 
Hawa watu 5 waliokufa hapa bunju mianzini asubuhi hii imeniumiza sana. Nimeshuhudia dereva wa lorry anaua watu 5 kwa makusudi kabisa. Madereva wa malori na mabasi hudhani kuwa wao pekee wana haki ya kuendesha barabarani.
 
wenur dhamana wako rikizo ya miaka 5 wanakula bata tu
 
Niliomba liwepo jukwaa la Usalama barabarani hapa jamvini, ili kurahisiSha upatikanaji wa taarifa za kusaidia kuepusha ajali. Nadhani, bado Moderators wanalifanyia kazi !
 
Wimbi la ajali linaomgezeka, salamu za pole za Rais zinatolewa, watu tunahuzunika tunasahau Mara ghafla paaap, ajali nyingine tunahuzunika tunasahau.

Miaka mitano iliyopita ajali zilielekea kupungua hasa zile zinazopoteza uhai wa watu mengi, ni wapi tumelegea, wenye dhamana mko wapi, hatutaki Mama yetu alie kila siku.
Nilipitwa na Basi majuzi nikiwa kwenye 120kph nikajuwa hii mashine inacheza na 140kph,nahisi hawa jamaa wameondoa vile vi speed govenor walivyofungiwa vya 80kph...
 
Back
Top Bottom