Hivo ndo mnavowapima wapenzi wenu??

Hivo ndo mnavowapima wapenzi wenu??

Nafikili hata wewe pia ni mvivu, hizo kazi mara nyingi wanawake wenyewe huwa wanapenda kuzifanya hatakama, hujamwambia.
 
Hivi umekutwa na kiherehere gani binti wewe kujipendekeza na kujipeleka kwa mwanaume???

Wewe wapelekwa kwa Hotel eenh!?..alitaka mwenyewe kuja ghetto alikuwa analalamika cjui simpendi kama nampenda nimpeleke ninapo ishi...Ndio hivyo tena amesha kuja kunitangaza huku.....Wanake wa DIGITAL BHANA SHIDAA TUPUU
 
asante mwaya tena kaona nijukumu langu haswaa tena anaweza haya akapiga simu kesho uwahi kuna kazi nyingi mweeeh nshachoka mie

mwambie atafute house girl..ila na sisi wadada ndo tunawaendekeza kataa kufua na kufanya usafi. Ila kama umeukubali u house girl jitahidi kufua upate ndoa
 
na wala hujakosea yani ni mvivu nikimwambia anasema napenda kushindana yani haya akila kutoa vyombo mezani ni shida

Inategemea jinsi unavyowasilisha ujumbe wako. Nahisi huwa unawasilisha ujumbe wako kwa lugha isiyopendeza.
 
Hakuna chakukupima wala nini unaweza ukafanya vyote hivyo bado asikuoe.

Kataa kuwa mtumwa hawezi kufanya aweke msichana wa kazi wapo wengi tu wakwenda na kurudi.
 
Weee nakulia taimingi tu.....siku na saa usiyoijua nasepa

Please my sweet heart naomba usiniach, nitakufa kwa pressure mwenzio. Bora nieleze wapi nakukosea ili nijirekebishe. I love you do much.
 
Please my sweet heart naomba usiniach, nitakufa kwa pressure mwenzio. Bora nieleze wapi nakukosea ili nijirekebishe. I love you do much.

Uache kunifanyisha makazi switie
 
anaekupima hakuambii, lkn pia co kwa style hyo!!
nafikiri upendo wake kwako ni controllable zats y anaeza kuku remort control!!
BT maelewano ni pa1 na kuskilizana & kusaidiana!!
neha
 
Last edited by a moderator:
Nasubiri Tyta atuthibitishie ka ni mwanake au mwanaume ili nichangie.
 
Last edited by a moderator:
ndoa sikuizi zinatafutwa at any cost,endelea kubishana na kuonyesha misimamo yako ya berlin kama hutoishia kuota vigimbi kwa kucheza kwaito kwenye harusi za mashostizo
 
kuosha vyombo na usafi mnataka mfanye wote?
Sasa kwenye nchi ya ndoa simtazinguana kwenye mambo yanayohitaji kusaidiana
Ndiyo matatizo ya mabinti wa .com Ni vyema ukabainisha kati ya majukumu ya me na ke katika maisha. Huyo naona ana future na wewe ila kwa upofu wetu siku hizi utaona anakunyanyasa. Kuna me wanapenda kufanya shughuli za ndani na wengine hawataki, hivyo naona wako hataki. Huyo ni husband material wengine ni unafiki tu
 
Mama, hizo kazi ndo wajibu wako, nitakuwezesha upate binti wa kukusaidia kaz ndogondogi za ndani. Lakini kumbuka sitaki kuandaliwa chakula na hg, sawa mama.

Uwiii uwii....chakula anachopika hg si kinatumia moto uleule ninaotumia mimi?
 
Habari zenu wapendwa,Mimi kuna jambo nahitaji mchango wenu na mawazo yenu kwa ujumla kwanza ningependa nijue hivi ni vitu gani haswa ambavyo mwanaume anaangalia kutoka kwa mpenzi wake ambavo ni kama vigezo vyake vile main

coz mimi nina boyfriend wangu yapata karibia mwaka sasa tupo kwenye mahusiano n we are happy,ila sasa kuna katabia kanajitikeza na kanazid kukomaa jambo ambalo binafsi sifurahii yaan ni hivi huy mpenzi wangu mara nyingi tunaonana weekend ndo mda mda alionao sasa utakuta wiki nzima hakujafanyiwa usafi wala nn japo anasafishaga lakini ile juujuu sasa mimi nikienda nikute ndani kuchafu nguo chafu vyombo vichafu na kupika basi ntajitahidi walau kumwambia tusaidiane ili kazi ziishe haraka labda wakati mi nafanya usafi we basi fua hataki ndo kwanza amekaa kwenye tv anacheki muvi mi nikinwambia hivo anasema napenda mashindano na madai yake eti ananipima kama ntaweza kuolewa na kuwa mama wa familia nkamwambia mimi siko hapa ili unipime au la kwanza kuolewa sio kipaumbele kwangu ikitokea sawa isipotokea basi ila sio niwe mtumwa kisa ndoa............

sasa hapo ndo nauliza jamani hivi ndo jinsi mnavowapima wapenzi wenu kama watafaa kuwa wanandoa??au ni uvivu wake tu unamsumbuaà
Ni hayo tu

Mm ME usafi na kila kitu nafanya mwenye,ninachotaka kwa girlfriend wangu ni entertainment tu! Hata ugali napika mwenyewe!
 
Back
Top Bottom