neha mimi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 344
- 152
Habari zenu wapendwa,Mimi kuna jambo nahitaji mchango wenu na mawazo yenu kwa ujumla kwanza ningependa nijue hivi ni vitu gani haswa ambavyo mwanaume anaangalia kutoka kwa mpenzi wake ambavo ni kama vigezo vyake vile main
coz mimi nina boyfriend wangu yapata karibia mwaka sasa tupo kwenye mahusiano n we are happy,ila sasa kuna katabia kanajitikeza na kanazid kukomaa jambo ambalo binafsi sifurahii yaan ni hivi huy mpenzi wangu mara nyingi tunaonana weekend ndo mda mda alionao sasa utakuta wiki nzima hakujafanyiwa usafi wala nn japo anasafishaga lakini ile juujuu sasa mimi nikienda nikute ndani kuchafu nguo chafu vyombo vichafu na kupika basi ntajitahidi walau kumwambia tusaidiane ili kazi ziishe haraka labda wakati mi nafanya usafi we basi fua hataki ndo kwanza amekaa kwenye tv anacheki muvi mi nikinwambia hivo anasema napenda mashindano na madai yake eti ananipima kama ntaweza kuolewa na kuwa mama wa familia nkamwambia mimi siko hapa ili unipime au la kwanza kuolewa sio kipaumbele kwangu ikitokea sawa isipotokea basi ila sio niwe mtumwa kisa ndoa............
sasa hapo ndo nauliza jamani hivi ndo jinsi mnavowapima wapenzi wenu kama watafaa kuwa wanandoa??au ni uvivu wake tu unamsumbuaà
Ni hayo tu
coz mimi nina boyfriend wangu yapata karibia mwaka sasa tupo kwenye mahusiano n we are happy,ila sasa kuna katabia kanajitikeza na kanazid kukomaa jambo ambalo binafsi sifurahii yaan ni hivi huy mpenzi wangu mara nyingi tunaonana weekend ndo mda mda alionao sasa utakuta wiki nzima hakujafanyiwa usafi wala nn japo anasafishaga lakini ile juujuu sasa mimi nikienda nikute ndani kuchafu nguo chafu vyombo vichafu na kupika basi ntajitahidi walau kumwambia tusaidiane ili kazi ziishe haraka labda wakati mi nafanya usafi we basi fua hataki ndo kwanza amekaa kwenye tv anacheki muvi mi nikinwambia hivo anasema napenda mashindano na madai yake eti ananipima kama ntaweza kuolewa na kuwa mama wa familia nkamwambia mimi siko hapa ili unipime au la kwanza kuolewa sio kipaumbele kwangu ikitokea sawa isipotokea basi ila sio niwe mtumwa kisa ndoa............
sasa hapo ndo nauliza jamani hivi ndo jinsi mnavowapima wapenzi wenu kama watafaa kuwa wanandoa??au ni uvivu wake tu unamsumbuaà
Ni hayo tu