duuh sasa nifanyeje mkuu au nimemwendekeza sana
Yaani unaenda kumfanyia kila kitu nyumbani kwake?? Ushauvaa u-mama ata haujafika??
Kama ni mimi huyo jamaa ndoa iko mbali sana......
Ngoja mwenzako afahamiane naye,atasafisha kila kitu mpaka bedcover ambazo ww hujawah safisha,atainama hadi uvunguni kutoa vumbi n.k, then uanze kuja hapa oooh sijui wapoje? hawabebeki,hawaeleweki kumbe unajijua u mvivu.
Vipi lakini kuoga anaoga ama anaona uvivu?
na wala hujakosea yani ni mvivu nikimwambia anasema napenda kushindana yani haya akila kutoa vyombo mezani ni shida
Honey, acha kumdanganya mwenzio, ukija kwangu mbona unafanya kila kitu na sijawahi kukusikia ukilalamika!
kwa ujumla ni kwamba kila mtu anavigezo vyake anavyotumia kujua kuwa yupi ni mtu sahihi kuingia naye kwenye mahusiano, hivyo ni vigumu kusema kuwa hivyo ndivyo tunavyowapima watu tunaotaka kuishi nao, lakini pia kuna namna nyingi za kujua yupi ni mtu sahihi kwa sababu yaliyopo katika familia siyo kazi, mwingine kigezo cha uwezo wa kufanya kazi kinaweza kisiwe cha kwanza akahitaji mtu mkarimu,msafi, mcheshi, na mpole, mwingine akahitaji mwanamke jembe saa kumi anasaka masufuria ya kuandalia breakfast saa moja nyumba yote imepikwa deki kachemsha na maji ya mme wake, mwingine anahitaji mradi mtu wa jinsia ya kike yupo ndani kama mke mengine yote mungu nisaidie,. kuhusu uchafu wa mtu wako hiyo hulka tu ila kumbuka watu wengi wanajali zaidi miili yao kuliko makazi yao suit safi lakini nyumbani kitanda full kunguni nyumba matanda bui. jaribu kutafuta mbinu mbalimbali zitakazomfanya bf wako awe mshiriki anapenda kushirikiana kazi usitumie lugha zinazoudhi, na usikubali kuwa roboti pia.
na wala hujakosea yani ni mvivu nikimwambia anasema napenda kushindana yani haya akila kutoa vyombo mezani ni shida
Ndiyo ni kipimo tosha......................!!!Habari zenu wapendwa,Mimi kuna jambo nahitaji mchango wenu na mawazo yenu kwa ujumla kwanza ningependa nijue hivi ni vitu gani haswa ambavyo mwanaume anaangalia kutoka kwa mpenzi wake ambavo ni kama vigezo vyake vile main
coz mimi nina boyfriend wangu yapata karibia mwaka sasa tupo kwenye mahusiano n we are happy,ila sasa kuna katabia kanajitikeza na kanazid kukomaa jambo ambalo binafsi sifurahii yaan ni hivi huy mpenzi wangu mara nyingi tunaonana weekend ndo mda mda alionao sasa utakuta wiki nzima hakujafanyiwa usafi wala nn japo anasafishaga lakini ile juujuu sasa mimi nikienda nikute ndani kuchafu nguo chafu vyombo vichafu na kupika basi ntajitahidi walau kumwambia tusaidiane ili kazi ziishe haraka labda wakati mi nafanya usafi we basi fua hataki ndo kwanza amekaa kwenye tv anacheki muvi mi nikinwambia hivo anasema napenda mashindano na madai yake eti ananipima kama ntaweza kuolewa na kuwa mama wa familia nkamwambia mimi siko hapa ili unipime au la kwanza kuolewa sio kipaumbele kwangu ikitokea sawa isipotokea basi ila sio niwe mtumwa kisa ndoa............
sasa hapo ndo nauliza jamani hivi ndo jinsi mnavowapima wapenzi wenu kama watafaa kuwa wanandoa??au ni uvivu wake tu unamsumbuaà
Ni hayo tu
Honey, acha kumdanganya mwenzio, ukija kwangu mbona unafanya kila kitu na sijawahi kukusikia ukilalamika!
hatuwezi kumuingiza mwanamke yeyote ndani au kumvua chupi mpaka ndoa.
Habari zenu wapendwa,Mimi kuna jambo nahitaji mchango wenu na mawazo yenu kwa ujumla kwanza ningependa nijue hivi ni vitu gani haswa ambavyo mwanaume anaangalia kutoka kwa mpenzi wake ambavo ni kama vigezo vyake vile main
coz mimi nina boyfriend wangu yapata karibia mwaka sasa tupo kwenye mahusiano n we are happy,ila sasa kuna katabia kanajitikeza na kanazid kukomaa jambo ambalo binafsi sifurahii yaan ni hivi huy mpenzi wangu mara nyingi tunaonana weekend ndo mda mda alionao sasa utakuta wiki nzima hakujafanyiwa usafi wala nn japo anasafishaga lakini ile juujuu sasa mimi nikienda nikute ndani kuchafu nguo chafu vyombo vichafu na kupika basi ntajitahidi walau kumwambia tusaidiane ili kazi ziishe haraka labda wakati mi nafanya usafi we basi fua hataki ndo kwanza amekaa kwenye tv anacheki muvi mi nikinwambia hivo anasema napenda mashindano na madai yake eti ananipima kama ntaweza kuolewa na kuwa mama wa familia nkamwambia mimi siko hapa ili unipime au la kwanza kuolewa sio kipaumbele kwangu ikitokea sawa isipotokea basi ila sio niwe mtumwa kisa ndoa............
sasa hapo ndo nauliza jamani hivi ndo jinsi mnavowapima wapenzi wenu kama watafaa kuwa wanandoa??au ni uvivu wake tu unamsumbuaà
Ni hayo tu