Nuraty J
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 1,724
- 3,834
ucjali tupo pamoja mpendwaAm sorry kama nimekukwaza
ucjali tupo pamoja mpendwaAm sorry kama nimekukwaza
Hawasomi terms na condtions ndiyo maana wanakuja kulalama hapa. Hajui hiyo juhudi ya kuitengeneza alikuwa ni kwa maslahi fulani? Ukiamua kuitumia lazima ufuate na mashartiAma kweli mtaangamia kwa kukosa maarifa.. Alafu ulivyo andika utadhani hiyo WhatsApp ni ya baba yako..
Mamlaka gani? Kweli hili ni swali la kuuliza mbele ya hadhara? Aibu gani hii.. Biashara za watu hizo... Ohh
Wanayo mamlaka hata ya kukufungia usitumie mali yao mina.
Labda utengeneze ya kwako..
Tuwe na tabia ya kusoma terms and conditions kabla ya kujiunga mitandao au kutumia vitu vya watu.
Hawasomi terms na condtions ndiyo maana wanakuja kulalama hapa. Hajui hiyo juhudi ya kuitengeneza alikuwa ni kwa maslahi fulani? Ukiamua kuitumia lazima ufuate na masharti
Hahahahahah bwana mdogoSijapandwa na wazimu, yaani nipandwe na wazimu kisa WhatsApp? Huwezi kuwa serious bwana mdogo
Kwanza Unatumia server za whatsapp kutuma na kupokea message, unatext watu wa whatsapp official bila ruhusa, unaiba picha zao etc kuna makosa mengi tu unafanya ukitumia hizo app.Kwan lazima kutumia Official whatspp, si maamuzi yangu Nitumie whatspp ipi, hao whatspp official wana mamlaka gani kumpiga mtu BAN kwakutotumia App yao eti
Unanicheka?
Ona sasa ubishi wako mpaka wajukuu zako umewasababishia ban ya bureUnanicheka?
Ona sasa ubishi wako mpaka wajukuu zako umewasababishia ban ya bure
Wamekupiga ban sasa wafanye unachoweza si maamuziyakoKwan lazima kutumia Official whatspp, si maamuzi yangu Nitumie whatspp ipi, hao whatspp official wana mamlaka gani kumpiga mtu BAN kwakutotumia App yao eti
Terms & conditions huwa unasoma au unakubaligi tu???Habari wana jamvi! Kwanza habari za mchana.
Thread yangu ni juu ya whatsap kwamba unakuta wanakublock.
Kwa wale wataalamu embu tusaidieni!View attachment 1138129
Anaandika utadhani WhatsApp ni mali ya binamu yake.Ama kweli mtaangamia kwa kukosa maarifa.. Alafu ulivyo andika utadhani hiyo WhatsApp ni ya baba yako..
Mamlaka gani? Kweli hili ni swali la kuuliza mbele ya hadhara? Aibu gani hii.. Biashara za watu hizo... Ohh
Wanayo mamlaka hata ya kukufungia usitumie mali yao mina.
Labda utengeneze ya kwako..
Tuwe na tabia ya kusoma terms and conditions kabla ya kujiunga mitandao au kutumia vitu vya watu.
Haaa....kwahiyo mjanja....Nina v7.99 ant ban enabled.. Naendelea vizuri
Hahah ataishia kusubiri ban iisheWamekupiga ban sasa wafanye unachoweza si maamuziyako
Duh uko vizuri geuka nione japo suraMmh, hujanielewa shoga, mbona km umepandwa na wazimu
Inatakiwa ujue kuwa kuna connection kati ya official WhatsApp na hizo WhatsApp nyingine ndio maana wanaweza kufanya interference...Sio yao, yao wao ni official whatspp, cha ajabu ukihamua kuacha kutumia official whatspp ukahamua kutumia GB whatsapp,, whatspp official wanakupiga BAN from nowhere jaman
Haaa....kwahiyo mjanja....
Ngoja upigwe ban ya miaka 200 na hiyo ant ban haitokuwepo
Wanakufungia kwa sababu hiyo GBwhatsap wamecopy jina lenye hati miliki ya WhatsApp ,that's is why unafungiwa ,soma kwenye policy zao utaona na wameelezi hiyo kitu ,shida ya watanzania wengi wanajiunga kitu bila kusoma policy za kile wanachojiunga.Habari wana jamvi! Kwanza habari za mchana.
Thread yangu ni juu ya whatsap kwamba unakuta wanakublock.
Kwa wale wataalamu embu tusaidieni!View attachment 1138129