Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,962
Sio Kanda ya Kati ni Kanda ya magharibiShinyanga sio kanda ya ziwa mkuu ile ni kanda ya kati ipo ukanda mmoja na Tabora
Sio Kanda ya Kati ni Kanda ya magharibiShinyanga sio kanda ya ziwa mkuu ile ni kanda ya kati ipo ukanda mmoja na Tabora
👆 ... Hater.Sehemu yoyote ukiwa na internet uka-access satellite feeds..., au ukipanda juu na chombo hivyo kupata bird eye view ya Tanzania
najuaUnajua kwamba ndege ina matairi?
GamboshiNasikia kuna sehemu Shinyanga ambayo unaweza kuuona mlima kilimanjaro. Ni sehemu gani hiyo?
Nataka nii-google.
Rejea bandiko lako la kwanza.najua
inahusikaje hapa.
Hata Congo DRC kuna bahari.Mikoa yote ya kanda ya ziwa imepakana na ziwa Viktoria lakini sina hakika na Shinyanga. Je ziwa Viktoria limefika Shinyanga?
niliandika duuh kuonyesha mshangaoRejea bandiko lako la kwanza.
Halafu jiulize what was so special?
Shinyanga sio kanda ya ziwa mkuu ile ni kanda ya kati ipo ukanda mmoja na Tabora
Hapo kwenye tabora ndipo shinyanga ilipo toka 2018.Acha kuongea kama hujui,,,Shinyanga ni kanda ya ziwa.
Mara
Mwanza
Shinyanga/khm
Kagera
Simiyu
Geita/chato
Tabora ni kanda ya magharibi.
Google Ibinzamata,Shy pale utapata view ya my. Kilimanjaro vzr lkn ukitaka iwe clear kabisa sogea mitaa ya Upongoji/Ndala/Ngokolo huko vilele vya Kibo na Mawenzi vinaoneakana clear kwa 100%.Nasikia kuna sehemu Shinyanga ambayo unaweza kuuona mlima kilimanjaro. Ni sehemu gani hiyo?
Nataka nii-google
angalia ramani, vitu vingine unatafuta kwenye mitandao, ziwa victoria haliingii shinyanga kabisa, sijui kwa mikoa ambayo Jiwe aliiunda labda shinyanga imepewa kipande cha ziwa.. stand to be correctedMikoa yote ya kanda ya ziwa imepakana na ziwa Viktoria lakini sina hakika na Shinyanga. Je ziwa Viktoria limefika Shinyanga?
Nasikia ukiuona mlima Kilimanjaro ukiwa Shinyanga unakuwa tajiri wa mifugo, nimeigoogle ila sijaonaNasikia kuna sehemu Shinyanga ambayo unaweza kuuona mlima kilimanjaro. Ni sehemu gani hiyo?
Nataka nii-google.
Mikoa yote ya kanda ya ziwa imepakana na ziwa Viktoria lakini sina hakika na Shinyanga. Je ziwa Viktoria limefika Shinyanga?
I think alichanganya na simiyu...Simiyu nadhani.
Haha ... possible myth mkuu.Nasikia ukiuona mlima Kilimanjaro ukiwa Shinyanga unakuwa tajiri wa mifugo, nimeigoogle ila sijaona
Yaani we fala na swali lako hili la kindezi. Elimu ya msingi somo la uraia/jiografia linafundishwa. Hujasoma shule ya msingi?Mikoa yote ya kanda ya ziwa imepakana na ziwa Viktoria lakini sina hakika na Shinyanga. Je ziwa Viktoria limefika Shinyanga?
Hapo kwenye tabora ndipo shinyanga ilipo toka 2018.
Nasikia ukiuona mlima Kilimanjaro ukiwa Shinyanga unakuwa tajiri wa mifugo, nimeigoogle ila sijaona
Hapana ika kuna cachment ya ziwa victoriaMikoa yote ya kanda ya ziwa imepakana na ziwa Viktoria lakini sina hakika na Shinyanga. Je ziwa Viktoria limefika Shinyanga?