Mhadzabe
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 3,226
- 4,730
Yani Zanzibar ni Saudia 🇸🇦 ya chini chini.Mkuu zanzibar inaendeshwa kidini yaani Muslim. Ukitaka gospel weka upendo tv, tumaini, Mwamba Mwamposa tv n.k
Kwa nini wasiseme kwenye katiba yao kwamba Zanzibar ni Nchi ya Kiislam, inayofata misingi ya dini hiyo?