Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,404
Hivi, Zanzibar ingekuwaje bila ya Muungano? Wangetajirika au wangekuwa maskini zaidi?
wewe unadhani vipi?
CUF imeanza mwaka gani na ASP imeanza lini?Mi nadhani kusingekuwa na Zanzibar. Kungekuwa kuna Unguja ya ASP na Aman Karume na Pemba ya CUF na Seif Shariff Hamad. Usisahau kusingekuwa na CCM kule.
NAkubliana na watoa hoja waliotangulia kama kusingekua na muungano Zanzibar isingekuwepo kungelikua na Unguja na Pemba na vita ya wenyewe kwa wenyewe na moja ya kambi za Benladen mkondo ambao wangeliufuata si tofauti na Somalia kuhoji Muungano pamoja na mapungufu yake ni baadhi ya watu kutaka kujifariji wakati wanajua fika kua muungano umeisadia Zanzibar kwa iasi kikukubwa na Tanganyika imepoteza sana kwa kuulinda muungano kwa gharama yoyote.Hili lilitokea kwa Jamuhuri ya Kisoviet (Urusi) Hambapo Russia amabayo ilitumia pesa nyingi narasilimali zake kwa ajili ya jamuhuri nyinhine zilizokuzmo Katika jamuhuri ya Kisoviet.Baada ya kuvunjika kwa imaya hiyo asilimia 99 ya nchi hizo ni masikini na ombaomba na bado zinaitegemea Russia Ndugu zangu Wazenj huo ni mfano na kumbukeni wakati wote UTENGANO NI UDHAIFU!Hivi, Zanzibar ingekuwaje bila ya Muungano? Wangetajirika au wangekuwa maskini zaidi?
Mi nadhani kusingekuwa na Zanzibar. Kungekuwa kuna Unguja ya ASP na Aman Karume na Pemba ya CUF na Seif Shariff Hamad. Usisahau kusingekuwa na CCM kule.
CUF, ASP yote ni majina tu. Kwani CCM imeanza mwaka gani? Suala hapa siyo jina la chama bali ni mtizamo. Kwani CUF wakiamua kujiita ASP sasa hivi mlengo wao utabadilika?CUF imeanza mwaka gani na ASP imeanza lini?
May be. But you cannot bet on that.Zanzibar imekuwepo kabla ya muungano na itaendelea kuwepo hata kama muungano ukivunjika.
Nyerere aliona mbali japo jina hilo linawatia kichefuchefu watu wengine. Bila muungano hakuna cha sisi Wazanzibari bali wao wazanzibara kisha sisi wapemba wao waunguja. Hamtakaa salamaKwanza utawala wa sheria usingekuwepo.kusingekuwepo muungano mpaka sasa tungekuwa tunajadili uunguja na upemba kabla ya kushughulikia maendeleo...kwa hiyo nchi ingekuwa omba omba huko oic....
Umaskini Pemba umepunguzwa na fursa walizopata Wapemba baraKungekuwa na Tanganyika na Zanzibar na mahusiano yao yangekuwa ya kiuendelevuu kibiashara na kiuchumiii..
Umaskini ungepungua sanaa pemba.
Hawawezi kuelewa hilo. Umimi umetawala nyoyo zao.NAkubliana na watoa hoja waliotangulia kama kusingekua na muungano Zanzibar isingekuwepo kungelikua na Unguja na Pemba na vita ya wenyewe kwa wenyewe na moja ya kambi za Benladen mkondo ambao wangeliufuata si tofauti na Somalia kuhoji Muungano pamoja na mapungufu yake ni baadhi ya watu kutaka kujifariji wakati wanajua fika kua muungano umeisadia Zanzibar kwa iasi kikukubwa na Tanganyika imepoteza sana kwa kuulinda muungano kwa gharama yoyote.Hili lilitokea kwa Jamuhuri ya Kisoviet (Urusi) Hambapo Russia amabayo ilitumia pesa nyingi narasilimali zake kwa ajili ya jamuhuri nyinhine zilizokuzmo Katika jamuhuri ya Kisoviet.Baada ya kuvunjika kwa imaya hiyo asilimia 99 ya nchi hizo ni masikini na ombaomba na bado zinaitegemea Russia Ndugu zangu Wazenj huo ni mfano na kumbukeni wakati wote UTENGANO NI UDHAIFU!
That is ununderstatement. Comoro wanagombea madaraka hawa watakuwa kama Somalia chuki bin chuki. wewe mwarabu, wewe mtumwa, wewe chogo almuradi kila aina ya uchochezi...ingekuwa kama Comoro, very unstable.
Well put Ex-Fisadi.kusingekuwepo na zanzibar stable tunavyoiona sasa. Kungekuwepo na mapanga mbele kwa mbele au mapanga shaaa!!! Vile karume na wenzake walivyo wachinja waarabu na washirika wao,waarabu nao wangeisha lipiza kisasi!!! Genocide ya Rwanda ingeanzia zanzibar, na instability unayoiona Somalia ingekuwa imeanzia Zanzibar.Imagine wazanzibar, No wapemba wanaokwenda kutafuta ukimbizini Somalia!!!!!! ukiona hilo linatendeka ndipo unapopashwa kubaini Zanzibar ni kitu gani!!! Zanzibar ni bomu linalosubiri muungano uvunjike ili lilipuke. bila muungano zanzibar haitakuwepo