Brig General Carlitos Way
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 1,520
- 3,479
Waziri Kiongozi wa Zanzibar afuturisha nyumbani kwake Oysterbay dar es salaam,Marais wastaafu wa Zanzibar wanaishi Dar es salaam,hii imekaaje???Na wavunje muungano tuone nani atalia sana.Yote hayo ya nini, muungano uvunjike ili kila mtu apewe haki yake stahiki. kwa mtazamo wangu, huu muungano daima umeendelea kuwa chanzo cha kutoaminiana baina ya pande zote mbili,matokeo yake shutuma haziishi kutoka kote kote.Bora uvunjike ili ukweli udhihiri,kama wengine watapata karafuu then wengine wapate madini maisha yasonge mbele as usual!!!
........ndio hio.