Hivi Yanga madai yao ni nini?

Hivi Yanga madai yao ni nini?

Joined
Dec 29, 2024
Posts
24
Reaction score
25
Nimefuatlilia sana kuhusu stance ya Yanga kugomea mechi. Naona huwa wanaishia na neno HATUCHEZI. Au tunaonewa. Au Dhulma!

Naomba msaada wa kujua hasa madai yao ni nini? Maana wanapingana mpaka na maelekezo ya CAS kama vile wapo Dunia yao;

Je, ni hulka tu ya uana harakati? Lakini wangeweka wazi msingi wa wanachopigania.

Je, ni kuahirishwa mechi trh 8 Mar? Hilo mbona wamejibiwa sana na sababu zipo wazi - vurugu za mabaunsa kuzuia mazoezi ya Simba. Pia ni mamlaka halali ya Bodi ya Ligi.

Je, ni kuukata uongozi wa TFF? Huu ndio utaratibu wa kuondoa uongozi madarakani??? Mbona mechi nyinginezo wanashiriki.

Naomba kujua hasa sababu za Yanga kufikia hadi kupingana na maamuzi ya CAS yaliyowataka kwenda TFF.
 
Nimefuatlilia sana kuhusu stance ya Yanga kugomea mechi. Naona huwa wanaishia na neno HATUCHEZI. Au tunaonewa. Au Dhulma!

Naomba msaada wa kujua hasa madai yao ni nini? Maana wanapingana mpaka na maelekezo ya CAS kama vile wapo Dunia yao;

Je, ni hulka tu ya uana harakati? Lakini wangeweka wazi msingi wa wanachopigania.

Je, ni kuahirishwa mechi trh 8 Mar? Hilo mbona wamejibiwa sana na sababu zipo wazi - vurugu za mabaunsa kuzuia mazoezi ya Simba. Pia ni mamlaka halali ya Bodi ya Ligi.

Je, ni kuukata uongozi wa TFF? Huu ndio utaratibu wa kuondoa uongozi madarakani??? Mbona mechi nyinginezo wanashiriki.

Naomba kujua hasa sababu za Yanga kufikia hadi kupingana na maamuzi ya CAS yaliyowataka kwenda TFF.
okay tufanye Yanga wanamakosa na ndio waliosababisha mchezo kuvunjika sasa inakuaje inapangwa tarehe mpya ya mechi bila hatua wala adhabu kutolewa? Ikitokea tarehe 15 mabaunsa wakawazuia 5imba tena getini itakuaje?
 
okay tufanye Yanga wanamakosa na ndio waliosababisha mchezo kuvunjika sasa inakuaje inapangwa tarehe mpya ya mechi bila hatua wala adhabu kutolewa? Ikitokea tarehe 15 mabaunsa wakawazuia 5imba tena getini itakuaje?
mna taka adhabu kwa kosa gani?
 
Nimefuatlilia sana kuhusu stance ya Yanga kugomea mechi. Naona huwa wanaishia na neno HATUCHEZI. Au tunaonewa. Au Dhulma!

Naomba msaada wa kujua hasa madai yao ni nini? Maana wanapingana mpaka na maelekezo ya CAS kama vile wapo Dunia yao;

Je, ni hulka tu ya uana harakati? Lakini wangeweka wazi msingi wa wanachopigania.

Je, ni kuahirishwa mechi trh 8 Mar? Hilo mbona wamejibiwa sana na sababu zipo wazi - vurugu za mabaunsa kuzuia mazoezi ya Simba. Pia ni mamlaka halali ya Bodi ya Ligi.

Je, ni kuukata uongozi wa TFF? Huu ndio utaratibu wa kuondoa uongozi madarakani??? Mbona mechi nyinginezo wanashiriki.

Naomba kujua hasa sababu za Yanga kufikia hadi kupingana na maamuzi ya CAS yaliyowataka kwenda TFF.
Madai ni kuwa uhuni sasa basi.
 
Je unauliza tu ili ku enjoy au wewe ni shabiki maandazi kama wenzio

Turudi kwenye maswali yako
Yanga si kama wanawaogopa simba!
1 Huwezikukosakujiaminimbeleyademuuliemkojoleazaidiyamakumi!
2 tarehe 8 hamkua tayari kucheza kwani wachezaji wenu muhimu walikua majeruhi,
Hivyo mkaona mtafute sababu yenye mashiko ili msicheze dabi
Na kilichompa simba nguvu ni UONGOZI!
3 yanga wamejua hilo na ndio maana hawataki kucheza hadi ZITOLEWE SABABU KUU MUHIMU ZA KWANINI WALIGHAILI MCHEZO WA AWALI.
 
Back
Top Bottom