ni chakula gani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Hivi Wenzangu huwa mnakula vyakula Gani?

    Mwenzenu maisha ni kama yananichanganya maana suala la mlo limekuwa kizungumkuti. Najikuta mzunguko wa chakula changu ni ule ule - wali, samaki, maharage - Ugali, samaki, dagaa, vegetables, Viazi Kiasi kwamba nimefikia hatua naghairisha kula kwasababu sioni kipya Cha kupika au kupikiwa...
  2. ChekoFagia

    JamiiForums Tanzania Ni chakula gani ungekula kila siku bila kuchoka?

    Mdau, kila mtu ana chakula anachokipenda sana. Kwa mfano, mimi naweza kula kande kila siku bila kuchoka. Wewe je?
Back
Top Bottom