Mbona wapo mtaani wamejaaLakini hapa Dar unaweza kaa mwaka usikutane na hata na mzee mmoja.
π€£π€£Mtaa gani mkuu. Mzee pekee namjua ni mzee mpili wa utopolo
Wakistaafu wanakimbilia huko kwenu vijijini ndio maana huku huwaoniWasalaamu wakuu.
Kuna uwezekano mkubwa ya kuwa wanaume tunapotea mapema sana hasa kwenye hili jiji.
Yaani June nilienda kijijini nimekutana na wazee wa miaka hiyo bado wanakula nchi.
Lakini hapa Dar unaweza kaa mwaka usikutane na hata na mzee mmoja.
La pili, nimekumbuka ile hafla ya makonda na wajane pale Mlimani city, wamama around 40s ni wajane.
Wanaume tule maisha, life expectancy yetu ni ya mashaka.
[emoji3][emoji3][emoji3]Mtaa gani mkuu. Mzee pekee namjua ni mzee mpili wa utopolo
DuuView attachment 1890824
Wazee mbona tupo kijana.......karibu gahawa......
Tupo DarMuko Dar au mmehami Bagamoyo kufuga kuku
Mtaa gani mkuu. Mzee pekee namjua ni mzee mpili wa utopolo
Huyu si Mzee wa DSM, anakaa huko Rufiji, DSM anafanya matembezi tuMtaa gani mkuu. Mzee pekee namjua ni mzee mpili wa utopolo
Una point kubwa sana. Ni vile watu wanawaza kimasikhara tuSiwaoni kabisa aisee. Itabidi nianze kupanda daladala siku moja moja