Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 7,578
- 17,718
INTRODUCTION:-
Yaani nina ""fazaaa"" na mawazo hata kusalimia naona NAPOTEZA MUDA tuu...!!!
Hebu twende hoja..
Watumishi wa umma ambao ni matajiri hebu njooni hapa ndugu zangu..!!
Kabla ya yote si unajua humu hatujuani, WE FUNGUKA TU UNIPE ABC NDUGU YENU.
Hivi mtumishi wa umma anakuaje na hela hivi..!!!
SCENARIO:-
Jamani humu kwenye utumishi wa umma kuna watu wanahela yaani miji fedha..!!
Kuna raia leo nimeona kabisaa UTT anamiliki Bil 1.2 kapata wapi hela zote hizi huyu jamaa..!!
Changamoto nilichungulia kimbea hivyo hata nguvu ya kumuuliza nimekosa..!!!!
Mnapata wapi hela..!!
PROBLEM:-
Mimi bwana nimelelewa maisha magumu sanaa,
1. Maisha ya uswahili
2. Yatima
3. Kutengwa na kunyanyaswa na ndugu
4. Kudhulumiwa mali na ndugu
5. Nimelala sanaa nje tena sometimes nje stendi, bar na sehemu hatari (Ile njia ya Kinondoni Studio mpaka Mwananyamala A Via komakoma NIMELALA SANAA NJE kwenye ile lami)
Yaani kifupi NIMETESEKA SANAAA UTOTONI (Uyatima nyoko..!!)
Ila nilikuja kujiapiza kuwa LAZIMA NIJE KUWA TAJIRI, yaani TAJIRI HASA.
Kwasababu nilikuja kujifunza, ""Ukosefu wa hela ndio ulinipitisha kwenye zile shida zoteee""
Yaani sitaki huu utajiri wa kubadilisha mboga, Nataka ule utajiri wa kumiliki masheli, mashule, majengo, mabiashara.
Yaani huo utajiri wa kumiliki magari makali kama ya Abduli NDIO NAOUTAKA MIMI.
Nataka ule utajiri wakutumia mil 20 per day continiously kwangu iwe normal thing...!!!
THE BIG PROBLEM:-
Katika harakati zangu za kutafuta utajiri nilipanga mambo 2.
1. Nisome sanaa (Nikafika Masters nikaona inatosha sasa)
2. Nifungue biashara (Nimefungua kampuni)
Ila hii kampuni/biashara bado naiona ndogo sanaa, nyie mi nataka zile helaaa yaani mingiiii.
Nikajiunga na CCM ila sasa naona kazi tu maana, sina ndugu mkubwa, sina connection kifupi ""Am nothing infront of CCM papas..!!""
Nikaona napoteza muda, NIKAACHANA NA SIASA..!!
Watu wakasema una elimu kubwaa tulia utaonekana, ila ni mwaka wa 8 sasa namiliki Masters ila sioni nikiitwa kokote au lolote lile lifanyike nipate shavu niseme ""Masters imeonekana sasa""
Nyie mlipata wapi hela??
Sasa bana, sawa nina kanafasi ofisini, ila sasa leo nimepiga hesabu posho zotee nilizopata tokea Mfumo wa malipo wa serikali ufunguliwe (mwaka mpya wa fedha) ni Milioni isiyofika 10. Yaani hela yenyewe dah ndogoooo.
1. Wenzangu mnapata wapi hela?
2. Hizo connection za CCM mnazipataje?
3. Hizo connection za mashavu huko Wizarani au kwenye mavitengo, mnazipataje??
Naambiwa kuna jamaa yupo Dodoma anapata posho mpaka safari za kwenda nje ya nchi kikazi anazichagua, nyengine anazipiga chini na kuweka wenzake, kwamba zina posho ndogo.
Halafu ana Bachelor tu, huyo baharia aliwezaje kupata hiyo nafasi??!!!
Nataka hela, kampuni yangu ikiitwa kila mtu aijue.
Yaani kama vile ukisikia MATI unajua huyo ni Mulokozi. Nataka sasa ukisikia ""ABCDEF Company"" Raia waseme "Huyo ndio Mr. Liverpool""
NATAKA HELAAA.
CONCLUSION
Mnaosema nina tamaa, nisikilizeni niwaambie..
www.jamiiforums.com
1. Nimekulia maisha ya kushindia na uji wa sembe tu bila sukari.
2. Nimekulia maisha ya kuombaomba balaaa.
3. Nimekulia maisha ya manyanyaso hasaaa.
4. Magumu mengi sanaa nimepitia.
5. Kuna kipindi nilishawahi kumuandikia Mungu barua ""KWANINI MUNGU ULIUA WAZAZI WANGU?""
Nataka kusema nini....
Nimeishi maisha ya umasikini hasaaaa yaani down the ground, lakini hata posho/fedha kidogo serikalini nimeshika""
Trust me "POVERT IS REAL MUCH PAINING" Tafuta hela ""UMASIKINI NYOKOOO SANAAA""
Siwezi ombea mtoto yoyote kwenye hii dunia apitishwe maisha ya uyatima niliyopitishwa.
NI MAGUMU HASAAAAA
Sasa.
Nahitaji pesa, Nahitaji pesa Sanaaaaaa.
NAZIPATAJE HIZO HELA???
Hayo maconnection ya kupiga deal na Samia, Abdul au Kikwete, WATU WANAZIPATAJE???
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Yaani nina ""fazaaa"" na mawazo hata kusalimia naona NAPOTEZA MUDA tuu...!!!
Hebu twende hoja..
Watumishi wa umma ambao ni matajiri hebu njooni hapa ndugu zangu..!!
Kabla ya yote si unajua humu hatujuani, WE FUNGUKA TU UNIPE ABC NDUGU YENU.
Hivi mtumishi wa umma anakuaje na hela hivi..!!!
SCENARIO:-
Jamani humu kwenye utumishi wa umma kuna watu wanahela yaani miji fedha..!!
Kuna raia leo nimeona kabisaa UTT anamiliki Bil 1.2 kapata wapi hela zote hizi huyu jamaa..!!
Changamoto nilichungulia kimbea hivyo hata nguvu ya kumuuliza nimekosa..!!!!
Mnapata wapi hela..!!
PROBLEM:-
Mimi bwana nimelelewa maisha magumu sanaa,
1. Maisha ya uswahili
2. Yatima
3. Kutengwa na kunyanyaswa na ndugu
4. Kudhulumiwa mali na ndugu
5. Nimelala sanaa nje tena sometimes nje stendi, bar na sehemu hatari (Ile njia ya Kinondoni Studio mpaka Mwananyamala A Via komakoma NIMELALA SANAA NJE kwenye ile lami)
Yaani kifupi NIMETESEKA SANAAA UTOTONI (Uyatima nyoko..!!)
Ila nilikuja kujiapiza kuwa LAZIMA NIJE KUWA TAJIRI, yaani TAJIRI HASA.
Kwasababu nilikuja kujifunza, ""Ukosefu wa hela ndio ulinipitisha kwenye zile shida zoteee""
Yaani sitaki huu utajiri wa kubadilisha mboga, Nataka ule utajiri wa kumiliki masheli, mashule, majengo, mabiashara.
Yaani huo utajiri wa kumiliki magari makali kama ya Abduli NDIO NAOUTAKA MIMI.
Nataka ule utajiri wakutumia mil 20 per day continiously kwangu iwe normal thing...!!!
THE BIG PROBLEM:-
Katika harakati zangu za kutafuta utajiri nilipanga mambo 2.
1. Nisome sanaa (Nikafika Masters nikaona inatosha sasa)
2. Nifungue biashara (Nimefungua kampuni)
Ila hii kampuni/biashara bado naiona ndogo sanaa, nyie mi nataka zile helaaa yaani mingiiii.
Nikajiunga na CCM ila sasa naona kazi tu maana, sina ndugu mkubwa, sina connection kifupi ""Am nothing infront of CCM papas..!!""
Nikaona napoteza muda, NIKAACHANA NA SIASA..!!
Watu wakasema una elimu kubwaa tulia utaonekana, ila ni mwaka wa 8 sasa namiliki Masters ila sioni nikiitwa kokote au lolote lile lifanyike nipate shavu niseme ""Masters imeonekana sasa""
Nyie mlipata wapi hela??
Sasa bana, sawa nina kanafasi ofisini, ila sasa leo nimepiga hesabu posho zotee nilizopata tokea Mfumo wa malipo wa serikali ufunguliwe (mwaka mpya wa fedha) ni Milioni isiyofika 10. Yaani hela yenyewe dah ndogoooo.
1. Wenzangu mnapata wapi hela?
2. Hizo connection za CCM mnazipataje?
3. Hizo connection za mashavu huko Wizarani au kwenye mavitengo, mnazipataje??
Naambiwa kuna jamaa yupo Dodoma anapata posho mpaka safari za kwenda nje ya nchi kikazi anazichagua, nyengine anazipiga chini na kuweka wenzake, kwamba zina posho ndogo.
Halafu ana Bachelor tu, huyo baharia aliwezaje kupata hiyo nafasi??!!!
Nataka hela, kampuni yangu ikiitwa kila mtu aijue.
Yaani kama vile ukisikia MATI unajua huyo ni Mulokozi. Nataka sasa ukisikia ""ABCDEF Company"" Raia waseme "Huyo ndio Mr. Liverpool""
NATAKA HELAAA.
CONCLUSION
Mnaosema nina tamaa, nisikilizeni niwaambie..
Nimeyakumbuka maisha yangu ya uyatima; Uyatima ni noma sana ndugu zangu
Jana (Ijumaa) nikiwa kazini Kuna saa nilikosa Kazi (zilikua zimeisha). Nikawazaa, ghafla mawazo ya maisha ya UYATIMA niliyopitia yalinijia. Ni ndefu sanaa we somaa.! Japo siwezi kuyaandika yotee, maana UYATIMA wangu ulinipitisha kwenye makubwa sanaa..!! Nilizaliwa kwenye familia ya watoto 3...
1. Nimekulia maisha ya kushindia na uji wa sembe tu bila sukari.
2. Nimekulia maisha ya kuombaomba balaaa.
3. Nimekulia maisha ya manyanyaso hasaaa.
4. Magumu mengi sanaa nimepitia.
5. Kuna kipindi nilishawahi kumuandikia Mungu barua ""KWANINI MUNGU ULIUA WAZAZI WANGU?""
Nataka kusema nini....
Nimeishi maisha ya umasikini hasaaaa yaani down the ground, lakini hata posho/fedha kidogo serikalini nimeshika""
Trust me "POVERT IS REAL MUCH PAINING" Tafuta hela ""UMASIKINI NYOKOOO SANAAA""
Siwezi ombea mtoto yoyote kwenye hii dunia apitishwe maisha ya uyatima niliyopitishwa.
NI MAGUMU HASAAAAA
Sasa.
Nahitaji pesa, Nahitaji pesa Sanaaaaaa.
NAZIPATAJE HIZO HELA???
Hayo maconnection ya kupiga deal na Samia, Abdul au Kikwete, WATU WANAZIPATAJE???
#YNWA
#YANGA_BINGWA