Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
MWANANCHI leo limeripoti kuwa wakazi wa Handeni wamefanyia mapokezi makubwa, Waziri wa Viwanda na Biashara Dk Kigoda na kumpongeza kwa kufanya uamuzi wa kumsimamisha kazi Bw Ekerege aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TBS. Wiki iliyopita magazeti yaliripoti kufanyiwa mapokezi makubwa kuwapongeza Wabunge wa Mwibara wa Ludewa kwa kutetea maslahi ya nchi Bungeni.
Tabia hii ambayo imeanza kuibuka inashangaza na kusikitisha, maana WaTz tunaanza kufikiri kuwa viongozi kutimiza wajibu ni fadhila! Hii ni aibu kubwa.
Tabia hii ambayo imeanza kuibuka inashangaza na kusikitisha, maana WaTz tunaanza kufikiri kuwa viongozi kutimiza wajibu ni fadhila! Hii ni aibu kubwa.