Hivi watafiti wa bongo hufanya kazi gani?

Candela

JF-Expert Member
Aug 12, 2021
628
1,647
Hivi hawa hufanyaje hizi tafiti zao. Maana navyojua sio rahisi kufanya utafiti hapa bongo hasa ukizingatia hatuna miundombinu rafiki. Hatuna uwekezaji wala wataalamu wanaoweza kufanya hizi zaidi ya ku dowload tafiti za watu wa nje huko. Kwa nini tunaziita tafiti ile hali ni copy na ku paste.
 
Hivi hawa hufanyaje hizi tafiti zao. Maana navyojua sio rahisi kufanya utafiti hapa bongo hasa ukizingatia hatuna miundombinu rafiki. Hatuna uwekezaji wala wataalamu wanaoweza kufanya hizi zaidi ya ku dowload tafiti za watu wa nje huko. Kwa nini tunaziita tafiti ile hali ni copy na ku paste.
Nilichokiona wanachofanya Wanafunzi wa Masters huko vyuoni wakati wa Desertation zao inasikitisha sana.

Kuna siku nitakuja na Uzi humu.

Hakuna Tafiti hapa Tz kuna waomba Pesa wasomeshe watoto na kujenga nyumba wakidai ni ufadhili wa Tafiti.

I dont trust most od them.
 
Wanafanya tafiti namna Gani CCM inakubalika kwa 100%

Hatuna wasomi tuna wahuni na machawa.
Hata kule vyuoni maprofesa tafiti zao ni

1. Prevalence of......
2. Knwolege atttitude....
3. Risk factors
4. The incidence of......

This kind of studies will never, say again Never build any scientific growth nor socio- economic changes
 
Hata kule vyuoni maprofesa tafiti zao ni

1. Prevalence of......
2. Knwolege atttitude....
3. Risk factors
4. The incidence of......

This kind of studies will never, say again Never build any scientific growth nor socio- economic changes
Halafu case studies za kubumba na full of plagiarism 😅😅😅
 
Hata kule vyuoni maprofesa tafiti zao ni

1. Prevalence of......
2. Knwolege atttitude....
3. Risk factors
4. The incidence of......

This kind of studies will never, say again Never build any scientific growth nor socio- economic changes
😄😄😄 mtu anapewa masters kwa kufanya research ya prevalence and risk factors haki huwa nashangaa sana.
Anyway maisha ni kuchagua.
 
Hivi hawa hufanyaje hizi tafiti zao. Maana navyojua sio rahisi kufanya utafiti hapa bongo hasa ukizingatia hatuna miundombinu rafiki. Hatuna uwekezaji wala wataalamu wanaoweza kufanya hizi zaidi ya ku dowload tafiti za watu wa nje huko. Kwa nini tunaziita tafiti ile hali ni copy na ku paste.
Hamna lolote walifanyalo zaidi ya kulewa, umalaya uliokithiri na kula rushwa tu.
 
Hivi hawa hufanyaje hizi tafiti zao. Maana navyojua sio rahisi kufanya utafiti hapa bongo hasa ukizingatia hatuna miundombinu rafiki. Hatuna uwekezaji wala wataalamu wanaoweza kufanya hizi zaidi ya ku dowload tafiti za watu wa nje huko. Kwa nini tunaziita tafiti ile hali ni copy na ku paste.
Leo kama bahati tu, nimekutana na yule mzee ambae ameweka kuanzisha chanzo cha umeme kupitia sumaku. Nimeshangaa snaa kwamba video alitembelewa na waziri wa nishati na mkurugenzi wa shirika la tunaangaza maisha kwa mgao.

Unajua ile mashine yake alivounda, haipigi kelele wala kutoa hewa chafu. Unaeka tu pembeni hata seating room ukacheki tv, ukawasha friji, kuchaji simu na kila kitu yani. Alafu anaunda kwa size tofauti kutokana na mteja. Naona zingine anatuma mikoani kama geita na mbeya.

Unajua ajabu nikwambie sio hii mashine aliyounda huyu mzee. Ajabu ni kwamba anasema hajasoma yani vyeti hana kabisa vya ufundi. Anasema robo tatu ya maisha yake amespend kwenye mavyuma tu na hata Aka yake wanamuita hivyo hivyo 'machuma chuma'.

Kuna basi lipo mbuga moja kubwa kule kusini Afrika kwa maphorisa aaah sorry Ramaphosa. Ile mbuga inaitwa kruger, wadau wa utalii wanajua ukubwa na watalii wanaoenda kwny hii mbuga kutoka 'duniani'. Sasa huyu mzee alipewa kazi ya kuweka ufundi wake kwenye moja yw mabasi ambayo watalii hutumia kuzunguka kwenye mbuga.

Lile basi ni kubwa lina gorofa moja kama yale ya london pale katikati.
Yani imagine jamaa wamemtoa huku kupeleka ujuzi wake umbali wote huo. Nadhani pia ni invention ya kwanza kufanyika kutumia sumaku kama chanzo cha umeme.

Najaribu kuwaza hii kitu angevumbua mtu kama Elon au wale kina gates ingekua kitu kubwa kiasi gani??? Wanafunzi wa vyuo vikuu huenda pia kujifunza pale. Hii ni invention ambayo jamaa inampa maisha ingawa mwnyw anasema badooooo.....

Imagine maisha yake yote anaishi bila kelele za luku mana hii mashine wataalamu wa tanesko wanasema hizo sumaku ni zile 'permenent' ambazo haipungui nguvu miaka nenda rudi labda uichome kwenye motoo mkali sana ndio inaweza haribika.


Hii sio tafiti ya mastaz wala doctor of philosophy, ni uvumbuzi umegusa jamii moja kwa moja. Hizi tafiti zetu za mlimani na sua zinatoa majibu kama haya kweli? Najua hivi vipaji vipo vingi lakini binafsi hii kwangu ni kwanza naiona alafu haina support kabisa kutoka kwa wenye mamlaka mzee asaidie kutatua mgao wa umeme ujueee.....mie nshaeka oda yangu ndgo ntaitumia kwny kibanda changu...naweka linki hapa mchekini injinia anaestahili digrii ile ya heshima kabisa kutoka kwa watanzania


View: https://youtu.be/93NXHr3fxpo?si=VpLvNrsFl1aD-5J4
 
Hivi hawa hufanyaje hizi tafiti zao. Maana navyojua sio rahisi kufanya utafiti hapa bongo hasa ukizingatia hatuna miundombinu rafiki. Hatuna uwekezaji wala wataalamu wanaoweza kufanya hizi zaidi ya ku dowload tafiti za watu wa nje huko. Kwa nini tunaziita tafiti ile hali ni copy na ku paste.
Research zinafanyika sana tu. Ma file yako makabatini kwenye wizara, taasisi na mashirika ya umma. Wakulaumiwa ni wale wavivu, walio na ubongo wenye ukungu, hawataki maendeleo, wanafanya kazi kwa mazoea, kwao hawana uzalendo wala kujali maendeleo ya nchi!
Mfano treni ya Mwakyembe nk nk...
 
Leo kama bahati tu, nimekutana na yule mzee ambae ameweka kuanzisha chanzo cha umeme kupitia sumaku. Nimeshangaa snaa kwamba video alitembelewa na waziri wa nishati na mkurugenzi wa shirika la tunaangaza maisha kwa mgao.

Unajua ile mashine yake alivounda, haipigi kelele wala kutoa hewa chafu. Unaeka tu pembeni hata seating room ukacheki tv, ukawasha friji, kuchaji simu na kila kitu yani. Alafu anaunda kwa size tofauti kutokana na mteja. Naona zingine anatuma mikoani kama geita na mbeya.

Unajua ajabu nikwambie sio hii mashine aliyounda huyu mzee. Ajabu ni kwamba anasema hajasoma yani vyeti hana kabisa vya ufundi. Anasema robo tatu ya maisha yake amespend kwenye mavyuma tu na hata Aka yake wanamuita hivyo hivyo 'machuma chuma'.

Kuna basi lipo mbuga moja kubwa kule kusini Afrika kwa maphorisa aaah sorry Ramaphosa. Ile mbuga inaitwa kruger, wadau wa utalii wanajua ukubwa na watalii wanaoenda kwny hii mbuga kutoka 'duniani'. Sasa huyu mzee alipewa kazi ya kuweka ufundi wake kwenye moja yw mabasi ambayo watalii hutumia kuzunguka kwenye mbuga.

Lile basi ni kubwa lina gorofa moja kama yale ya london pale katikati.
Yani imagine jamaa wamemtoa huku kupeleka ujuzi wake umbali wote huo. Nadhani pia ni invention ya kwanza kufanyika kutumia sumaku kama chanzo cha umeme.

Najaribu kuwaza hii kitu angevumbua mtu kama Elon au wale kina gates ingekua kitu kubwa kiasi gani??? Wanafunzi wa vyuo vikuu huenda pia kujifunza pale. Hii ni invention ambayo jamaa inampa maisha ingawa mwnyw anasema badooooo.....

Imagine maisha yake yote anaishi bila kelele za luku mana hii mashine wataalamu wa tanesko wanasema hizo sumaku ni zile 'permenent' ambazo haipungui nguvu miaka nenda rudi labda uichome kwenye motoo mkali sana ndio inaweza haribika.


Hii sio tafiti ya mastaz wala doctor of philosophy, ni uvumbuzi umegusa jamii moja kwa moja. Hizi tafiti zetu za mlimani na sua zinatoa majibu kama haya kweli? Najua hivi vipaji vipo vingi lakini binafsi hii kwangu ni kwanza naiona alafu haina support kabisa kutoka kwa wenye mamlaka mzee asaidie kutatua mgao wa umeme ujueee.....mie nshaeka oda yangu ndgo ntaitumia kwny kibanda changu...naweka linki hapa mchekini injinia anaestahili digrii ile ya heshima kabisa kutoka kwa watanzania


View: https://youtu.be/93NXHr3fxpo?si=VpLvNrsFl1aD-5J4

Hii ya huyu mzee ni ngumu kuwa official mkuu maana kuna watu wanazalisha nyaya, wazee wa ma generator wote watamuua akikaza ye abaki tu hapo kwa usalama wake.
Kama unafatilia wanasayansi, enzi za kina Newton na Einstein aliwahi kuwepo Nikola Tesla, ambae elon ndio anatumia kazi zake kufanya anayofanya. Huyu Tesla aliweza kugundua namna ya kupata umeme kutokana na mzunguko wa dunia bila kutumia waya za transmission, yaani unajenga nyumba unanunua kifaa kinafungwa kwako unaoata umeme lakini kilichotokea maabara yake ilivamiwa ikachomwa Moto, hata alipokufa kifo chake kilikuwa na maswali mengi sana. Na ndio mwanasayansi aliyekufa na ujuzi mwingi maana baada ya kuchomewa maabara na kuibiwa baadhi ya tafiti zake aliacha kabisa kuandika badala yake akawa anahifadhi kila kitu kichwani. Kuna wakati aliwahi kusema YEYE HU DESIGN KICHWANI MASHINE YOYOTE, NA KUIJARIBU KICHWANI KAMA INAFANYA KAZI. Yaani aliogopa kutengeza prototype maana aliandamwa sana na idea yake ya free electricity.
 
Hivi hawa hufanyaje hizi tafiti zao. Maana navyojua sio rahisi kufanya utafiti hapa bongo hasa ukizingatia hatuna miundombinu rafiki. Hatuna uwekezaji wala wataalamu wanaoweza kufanya hizi zaidi ya ku dowload tafiti za watu wa nje huko. Kwa nini tunaziita tafiti ile hali ni copy na ku paste.
Kwani ume search google scholar?
 
Hivi hawa hufanyaje hizi tafiti zao. Maana navyojua sio rahisi kufanya utafiti hapa bongo hasa ukizingatia hatuna miundombinu rafiki. Hatuna uwekezaji wala wataalamu wanaoweza kufanya hizi zaidi ya ku dowload tafiti za watu wa nje huko. Kwa nini tunaziita tafiti ile hali ni copy na ku paste.
kaz zao nyingi ni collaboration na USA/ Western Europe..........
 
Leo kama bahati tu, nimekutana na yule mzee ambae ameweka kuanzisha chanzo cha umeme kupitia sumaku. Nimeshangaa snaa kwamba video alitembelewa na waziri wa nishati na mkurugenzi wa shirika la tunaangaza maisha kwa mgao.

Unajua ile mashine yake alivounda, haipigi kelele wala kutoa hewa chafu. Unaeka tu pembeni hata seating room ukacheki tv, ukawasha friji, kuchaji simu na kila kitu yani. Alafu anaunda kwa size tofauti kutokana na mteja. Naona zingine anatuma mikoani kama geita na mbeya.

Unajua ajabu nikwambie sio hii mashine aliyounda huyu mzee. Ajabu ni kwamba anasema hajasoma yani vyeti hana kabisa vya ufundi. Anasema robo tatu ya maisha yake amespend kwenye mavyuma tu na hata Aka yake wanamuita hivyo hivyo 'machuma chuma'.

Kuna basi lipo mbuga moja kubwa kule kusini Afrika kwa maphorisa aaah sorry Ramaphosa. Ile mbuga inaitwa kruger, wadau wa utalii wanajua ukubwa na watalii wanaoenda kwny hii mbuga kutoka 'duniani'. Sasa huyu mzee alipewa kazi ya kuweka ufundi wake kwenye moja yw mabasi ambayo watalii hutumia kuzunguka kwenye mbuga.

Lile basi ni kubwa lina gorofa moja kama yale ya london pale katikati.
Yani imagine jamaa wamemtoa huku kupeleka ujuzi wake umbali wote huo. Nadhani pia ni invention ya kwanza kufanyika kutumia sumaku kama chanzo cha umeme.

Najaribu kuwaza hii kitu angevumbua mtu kama Elon au wale kina gates ingekua kitu kubwa kiasi gani??? Wanafunzi wa vyuo vikuu huenda pia kujifunza pale. Hii ni invention ambayo jamaa inampa maisha ingawa mwnyw anasema badooooo.....

Imagine maisha yake yote anaishi bila kelele za luku mana hii mashine wataalamu wa tanesko wanasema hizo sumaku ni zile 'permenent' ambazo haipungui nguvu miaka nenda rudi labda uichome kwenye motoo mkali sana ndio inaweza haribika.


Hii sio tafiti ya mastaz wala doctor of philosophy, ni uvumbuzi umegusa jamii moja kwa moja. Hizi tafiti zetu za mlimani na sua zinatoa majibu kama haya kweli? Najua hivi vipaji vipo vingi lakini binafsi hii kwangu ni kwanza naiona alafu haina support kabisa kutoka kwa wenye mamlaka mzee asaidie kutatua mgao wa umeme ujueee.....mie nshaeka oda yangu ndgo ntaitumia kwny kibanda changu...naweka linki hapa mchekini injinia anaestahili digrii ile ya heshima kabisa kutoka kwa watanzania


View: https://youtu.be/93NXHr3fxpo?si=VpLvNrsFl1aD-5J4

Hivi gharama ya mashine zake ni kiasi gani na anapatikana wapi?
 
Nilikuwa natafuta Tittle ya research yangu, naona umenipa, nawafanyia utafiti watafiti wa bongo na tafiti zao, ikiwa zina viwango takiwa.


Lakini si ni kanuni za kitafiti kufanya Literature Review, ili kupata Knowledge Gap au wewe mtafiti Candela unasemaje? Na wewe pia unaweza fanya tafiti ambayo ni Pure ukawa mfano wa kuigwa.
 
Nilikuwa natafuta Tittle ya research yangu, naona umenipa, nawafanyia utafiti watafiti wa bongo na tafiti zao, ikiwa zina viwango takiwa.


Lakini si ni kanuni za kitafiti kufanya Literature Review, ili kupata Knowledge Gap au wewe mtafiti Candela unasemaje? Na wewe pia unaweza fanya tafiti ambayo ni Pure ukawa mfano wa kuigwa.
Literature review haipingiki ila siyo kukopi na kupest au kufanya plagiarism.
 
Back
Top Bottom