mrskhoory
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 220
- 112
Waarabu ni wayahudi
Candid scope unaanza kuchosha sasa, unataka kusema Saudia Arabia , Oman , UAE , Bahrain, na Qatar wayahudi?
Waarabu ni wayahudi
Uyahudi sio kabila ni imani.hakuna kabila la kiyahudi.Candid scope unaanza kuchosha sasa, unataka kusema Saudia Arabia , Oman , UAE , Bahrain, na Qatar wayahudi?
Candid scope unaanza kuchosha sasa, unataka kusema Saudia Arabia , Oman , UAE , Bahrain, na Qatar wayahudi?
eti Handeni!? wewe kweli maamumaaa!
Candid scope unaanza kuchosha sasa, unataka kusema Saudia Arabia , Oman , UAE , Bahrain, na Qatar wayahudi?
Na ni taifa ambalo wanaongea lugha moja, dini moja, lakini hawaelewani wanauwana kama kuku .
Wayahudi na waarabu ni jamii moja tu na wamekuja kutofautiana sababu ya itikadi za kidini ya kiislamu na kiyahudi. Soma biblia wanatokana na watoto mapacha.
Huoni kuna viashiria vingi vinavyowafanya wafanane na hata hasira, kasirani na kulipa kisasi.
Ugomvi unaoendelea ni wa mtu na ndugu yake, ujuavyo ilivyo vigumu kuamua ugomvi wa ndugu kuliko wa watu baki. Hujawahi kuona waislamu wakiwasema vibaya dini za Kibuda isipokuwa hii iliyoasisiwa na myahudi.
Uarabu ni lugha imeanza karne ya 6 baada ya yesu.ishmael hakua mwarabu in a really sense,wala hakupata kuongea kiarabu.Acha kupotosha wewe hakuna pacha hapo ni mwarabu ni uzao wa mjakazi alizaana bosi baada ya mke kutozaa miaka mingi lakini Mungu baadae alimpatia mke halali mtoto.
Wanafitinishwa.
Yaani wewe ukisikia waarabu lazima ukurupuke kutoka popote ulipo! Ni shamran au kitu gani?
Hilo swali lipo kweny mthan wa kesho kama lipo xema fasta watu tu gugo me npo fire ile mbaya
Acha kupotosha wewe hakuna pacha hapo ni mwarabu ni uzao wa mjakazi alizaana bosi baada ya mke kutozaa miaka mingi lakini Mungu baadae alimpatia mke halali mtoto.
Mi kushabikia yimu za ligi ya Tz mpaka Pamba ya Mwanza ipande daraja
eti Handeni!? wewe kweli maamumaaa!
Unamaanisha asili ya muheshimiwa kiina nahWaarabu tuna fahamu asili yao na wahindi hali kadhalika lkn wasomali Africa hawapo Asia hawapo. Jamani nani mwenye kujua uwepo wao hawa watu?
Yaani asili yao ni wapi,kama vile sisi wabantu asili yetu ni central Africa sasa wao ni wapi?