Hivi wasomali asili yao ni wapi?

Hivi wasomali asili yao ni wapi?

Status
Not open for further replies.
Tuwe tunauliza hoja zenye maana ,mwisho mtauliza asili ya watu albino ebu tubadilike ndgu zangu
 
Tuwe tunauliza hoja zenye maana ,mwisho mtauliza asili ya watu albino ebu tubadilike ndgu zangu

Sio vibaya kufahamu asili ya mtu mkuu, au wewe hukwenda skuli ukafundishwa kuwa asili ya binadamu ni Africa? Khah una bwabwaja kama huna meno! watu wanajifunza aidha kwa kusoma, kusikia, kuona na mengine mengi. Badilika wewe kwanza
 
Najua ktk jamii wako watu kazi yao kuwatoa watu kujadili hoja za msingi nakuomba ubadilike usilete hoja kwa vile tu umejifunza shuleni
 
eti Handeni!? wewe kweli maamumaaa!

Soma kijana, soma.

Ilm nnayokupa ni ya juu, kiwango chako cha ilm bado ni duni sana.

Forty-six year old Amir Luge, and a father of five, holds not even the slightest hint or look of a Somali origin. Yet truth prevails. He is a Somali after all, although he detests that, believing beyond any reasonable doubt that he is a Tanzanian of a Zigua tribe.

Home
 
Soma kijana, soma.

Ilm nnayokupa ni ya juu, kiwango chako cha ilm bado ni duni sana.

Forty-six year old Amir Luge, and a father of five, holds not even the slightest hint or look of a Somali origin. Yet truth prevails. He is a Somali after all, although he detests that, believing beyond any reasonable doubt that he is a Tanzanian of a Zigua tribe.

Home

elimu = ilimu
 
waarabu tuna fahamu asili yao na wahindi hali kadhalika lkn wasomali africa hawapo asia hawapo. Jamani nani mwenye kujua uwepo wao hawa watu?
Yaani asili yao ni wapi,kama vile sisi wabantu asili yetu ni central africa sasa wao ni wapi?

tatizo lako unaangalia muonekano,rangi,nywele etc.
Hebu tuambie wa mbulu asili yao wapi,manake nao kwa mtizamo wa kwako ni zaidi ya wasomali.
Wana nywele za singa.
 
Unakumbuka historia kwenye biblia ambapo watoto mapacha walikuwa wanagombana tumboni mwa mama yao, hata baada ya kuzaliwa wakaendelea kugombana hadi walipokua. Kisha baba yao kawaambia dunia kubwa kawagawanyisha mifugo. Kisha kasema tazama mashariki ni kubwa na magharibi ni kubwa pia, wewe nenda upende wa mashariki na wewe upande wa magharibi ili kuleta ambani ndugu wasijhe kuuana. Huo ni ugomvi wa ndugu kwa ndugu.

Naomba ni kitabu gani kiliandika hivyo
 
Uzao wa mtoto wamjakazi palestina na uzao wa farao wengine walihama kwenda tafuta makazi miji ya mbaali.
Huyo Kijakazi alikuwa ni mnani? Mmatumbi, Mpogoro, Myahudi, au?
 
Inaelekea huwajui wasomalia wewe!!!
Hawa jamaa usiombe ukakutana nao kwenye kusaka mali!!Ujangili wa tembo waliuanza miaka mingi sana kule Kenya na waloua watu sana na kudhulumu wale waliokua wanawatafutia hizo pembe au meno ya tembo.Tafuta watu wa Songea watakujuza uharamia wa Wasomalia miaka ya 1985 - 2000.

Kwa hiyo tu wa judge wasomali wote ni wauwaji wa watu na tembo? I can't tell the difference between you and the other guy alie sema wasomali wote ni waxxxxji.
 
Mwaka 2009 nilipokuwa mwaka wa kwanza ndio nilianza kutumia JAMII FORUM...nlikuwa naingia as a guest so nilikuwa sinamamlaka ya kupost...nilitumia JF kama sehemu ya kijifunza na nlijifunza kweli mambo mapya ingawa katika jamii inayonizunguka nlikuwa muongeaji mzuri iyo ilipelekea watu waniamin sana,sasa nilivoingia JF nkagundua mie kumbe mweupe....michango kama ya the boss,mzizi mkavu,faizafoxy,kipangan na wengine niliowasahau ulikuwa inajenga sana...
Sasa mwaka 2010 nilijiunga kwa Mara ya kwanza kwa ID ambayo kwa sasa siitumii kutokana mambo ya aibu nliyokuwa na post
Nashangaa siku izi JF sio ya great thinker.. Bali imejaa ubabaishaji mtu anaandika thread ya maana...watu wanajibu upumbavu mpaka najiulizaga sana kabla ya kuingia...watu wanaboa sana.
 
Mwaka 2009 nilipokuwa mwaka wa kwanza ndio nilianza kutumia JAMII FORUM...nlikuwa naingia as a guest so nilikuwa sinamamlaka ya kupost...nilitumia JF kama sehemu ya kijifunza na nlijifunza kweli mambo mapya ingawa katika jamii inayonizunguka nlikuwa muongeaji mzuri iyo ilipelekea watu waniamin sana,sasa nilivoingia JF nkagundua mie kumbe mweupe....michango kama ya the boss,mzizi mkavu,faizafoxy,kipangan na wengine niliowasahau ulikuwa inajenga sana...
Sasa mwaka 2010 nilijiunga kwa Mara ya kwanza kwa ID ambayo kwa sasa siitumii kutokana mambo ya aibu nliyokuwa na post
Nashangaa siku izi JF sio ya great thinker.. Bali imejaa ubabaishaji mtu anaandika thread ya maana...watu wanajibu upumbavu mpaka najiulizaga sana kabla ya kuingia...watu wanaboa sana.
Ukiona hivyo ujue siku za mwisho zimekaribia
 
Waarabu tuna fahamu asili yao na wahindi hali kadhalika lkn wasomali Africa hawapo Asia hawapo. Jamani nani mwenye kujua uwepo wao hawa watu?
Yaani asili yao ni wapi,kama vile sisi wabantu asili yetu ni central Africa sasa wao ni wapi?
Na wahindi asili yao wapi?
 
Asili ya Somali ni mchanganyiko wa Ethiopia na kwa vile waulipenda sana Uarabu wakazaliana na kwa kuwa ni Taifa lenye watu mchanganyiko umo umo kuna Wazigua wenye asili ya Tanzania na Wakenya wa Pwani (Mombasa Lamu na kwengineko nchini Kenya)
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom