Mwaka 2009 nilipokuwa mwaka wa kwanza ndio nilianza kutumia JAMII FORUM...nlikuwa naingia as a guest so nilikuwa sinamamlaka ya kupost...nilitumia JF kama sehemu ya kijifunza na nlijifunza kweli mambo mapya ingawa katika jamii inayonizunguka nlikuwa muongeaji mzuri iyo ilipelekea watu waniamin sana,sasa nilivoingia JF nkagundua mie kumbe mweupe....michango kama ya the boss,mzizi mkavu,faizafoxy,kipangan na wengine niliowasahau ulikuwa inajenga sana...
Sasa mwaka 2010 nilijiunga kwa Mara ya kwanza kwa ID ambayo kwa sasa siitumii kutokana mambo ya aibu nliyokuwa na post
Nashangaa siku izi JF sio ya great thinker.. Bali imejaa ubabaishaji mtu anaandika thread ya maana...watu wanajibu upumbavu mpaka najiulizaga sana kabla ya kuingia...watu wanaboa sana.