Hivi wasambaa wana sifa gani??

Wasambaa wote wanao midomo mikubwa, anayebisha anyooshe kidole ajifanye anajikuna.
 
wagosi wa kaya.....vandu va ndima mbwagaa.kwa wanawake ni weupe, wanajua michikichio, wanavumilia,shida, wanaume wanapenda kutiana sana, iwe asubui, mchana jioni usiku wao ni dyduyuuu tu.
 
.
Your browser is not able to display this video.
 
Humu Wasambaa tuko wengi kweli kweli! Tunatakiwa tutembee vifua mbere maana tunapendwa sana na Wanyika kutokana na sifa nyingi nzuri tulizojaliwa. Mtu akituzingua tunampiga kisimo au tunampiga zongo kabisa!
 
Kumbe ndio maana Mshana Jr mbishi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Halafu wanapenda ulozi, ni nawaogopa katika hilo tu, niliambiwa wanapenda ushirikina sana.
 
Kumbe ndio maana Mshana Jr mbishi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Halafu wanapenda ulozi, ni nawaogopa katika hilo tu, niliambiwa wanapenda ushirikina sana.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…