Marcostilone
JF-Expert Member
- Jun 25, 2023
- 6,048
- 14,663
Ili mwanamke asikusumbue unatakiwa kuwa non human being, ila kama ni human being, kusumbuliwa hakuepukiki.
Mwanamke wa sasa inabidi akupende yeye tu hayo mengine hayana msingiIli mwanamke asikusumbue unatakiwa kua na vitu vingi kwa wakati mmoja
Pesa, mwonekano, wadhifa, nguvu za kiume, tabia njema na vitu vingine ambavyo hata sisi wanawake wenyewe hatuvijui
Mm mnitoe hapo kwenye hiyo list ya wanaume, bora mniache tuuIli mwanamke asikusumbue unatakiwa kua na vitu vingi kwa wakati mmoja
Pesa, mwonekano, wadhifa, nguvu za kiume, tabia njema na vitu vingine ambavyo hata sisi wanawake wenyewe hatuvijui
Umejuaje 🤝Wanataka kupendwa,kupewa hela,kutombwa vizuri na uhuru
Tumeshakua watu wazima tunajua...Umejuaje 🤝
Kwa hiyo Sasa hivi wala hutesekiTumeshakua watu wazima tunajua...
Tumepigwa Sana matukio huko nyuma mpaka akili inakaa sawa🙌
Achana na wanawake viumbe wagumu wasioridhikaWakuu leo nimekaa nikatafakari sana hivi ili wanawake wasikusumbue unatakiwa kua na pesa?
2 au kua na mwanamke mmoja?
3 au kua handsam?
nimejiuliza mara nyingi sijapa jibu we unaona w
WANAWAKE WANATAKA NINI HASWA KWA WANAUME ILI WATULIE.?
MADA:
Kwanza hakuna kitu rahisi Kama mwanamke yani easy Sana yan hata ikifika mnaachana Wala hamjijui Kama mmeachana😆Kwa hiyo Sasa hivi wala huteseki
😅😅😅Ila mapenziKwanza hakuna kitu rahisi Kama mwanamke yani easy Sana yan hata ikifika mnaachana Wala hamjijui Kama mmeachana😆
Hata msipoonana miaka miwili mkionana tu unaichapa
Ni ushenzi😆😆😅😅😅Ila mapenzi
Atakapo kuja mwenyewe ndio utajua unatakiwa kumzingatia au anajizingatiaWanawake sio wa kuwazingatia sana, ishi purpose yako watakuja wenyewe tu
Utamzuingatia ila hata kusumbuaAtakapo kuja mwenyewe ndio utajua unatakiwa kumzingatia au anajizingatia
Ila matamu sanaNi ushenzi😆😆
Hasa mkifanya uchi🙈Ila matamu sana