Hivi wanawake wanataka nini..?

Hivi wanawake wanataka nini..?

Mwanamke ukitaka uendane nae kila mda fanya UPDATE.

Na kingine usieleweke sana kwake.

Na usije ukarogwa ajue unampenda.

Ukimweka kweny himaya yako kuwa na kajeuri kwa mbali.
zingatia kwa mbali yaan uwe unamajar kama humjari iv kumbe upo unamjari.
Badala wew uteseke yeye ndo atateseka juu yako.
Sema usije ukajisahau ukaona kama madhaifu yake umchape.
 
Unatesekaje na wanawake, anza kujipenda wewe mwenyewe, jiheshimu,focus kwenye kujijenga kiuchumi, linda afya yako.... hawa jinsia ya pili watajileta wenyewe
 
Wanawake wanataka kupewa hela na mwanaume pasipo kutombwer
 
Wakuu leo nimekaa nikatafakari sana hivi ili wanawake wasikusumbue unatakiwa kua na pesa?
2 au kua na mwanamke mmoja?
3 au kua handsam?


nimejiuliza mara nyingi sijapa jibu we unaona w
WANAWAKE WANATAKA NINI HASWA KWA WANAUME ILI WATULIE.?

MADA:
Atleast:
1Attention,
2financial support,
3love,
4respect,
5care,
6your time
7sex
 
Back
Top Bottom