Oooo,,mfumo wa maisha unatufanya wanaume tumdharau mwanamke kwa kila namna,lakin maumbile na kiutamadun inaonesha kuwa mwanaume anamtumia zaidi mwanamke,na mwanamke yuko tayari kutumiwa kwa namna yeyote ile,,,,,,,,sasa kikaragosi unautumia huo mfumo kujisifu,lakini huwez jua ya mbeleni,wa kwanza kucheka ndo huwa wa mwisho kulia,nahisi UTOTO NDO WAKUSUMBUA NA IMANI DHAIFU