kadiri kasimba
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 578
- 1,107
Kuna muimbaji aliwahi Kuimba,,,,,,,kuchora,kuchora kitu Gani unaweza ukachora na Bado usione ndani!Chambo huliwa ili samaki aliwe..
Sisi ni wawindaji
Mimi mwanamke asieomba pesa ananipa tabu kisenge yaani..
Lakini yule anaeniomba mara vocha sijui elfu tano na kumi
Huyo ni uhakika kuwa nakula..
Ahahahahahah...Mkuu kwahyo nachorwa tu sio
Nachorwa hapa.πAhahahahahah...
Aah mimi siwez sema mkuu. Mawakala wanafungaje?
ILANI 2025
Sayansi, Teknolojia na Ubunifu
Kuandaa mkakati wa matumizi ya teknolojia mpya (AI, roboti, blockchain, setilaiti).
Kupanua matumizi ya TEHAMA kwa wananchi vijijini na mijini.
Kuanzisha na kurusha satelaiti za mawasiliano na utafiti.
#kazinaututunasongambele
Oyaa acha wenge
We tuma tu bwana,maisha magumu siku hizi huenda kweli kakamatika ? Wewe ndio unamjua vizuri ππNachorwa hapa.π
Mipango ya kumzabzabua mdada wa watu, au sio Rich AuntMipango ipi zaidi ya kumtomba tu mpunguze uongo
Melancholic oya chukua code hiziChambo huliwa ili samaki aliwe..
Sisi ni wawindaji
Mimi mwanamke asieomba pesa ananipa tabu kisenge yaani..
Lakini yule anaeniomba mara vocha sijui elfu tano na kumi
Huyo ni uhakika kuwa nakula..
Wanasemaga mdada anaekuomba hela mda mfupi baada ya kumtongoza hakupendi, ila mm kwa uzoefu wangu kuna wadada walikuwa Wananipiga hivyo vizinga vya mda mfupi baada ya kuwatongoza na vya mara kwa mara.Akikuomba 20k wewe mwambie hiyo sina nimebakiza 5k kwenye simu.
Akiiomba na hiyo wewe mpe.
Kama amekuvutia kingono uaiache kumpa.
Mpe na usimuoneshe kama unamtaka kabisa.
Maana mwanamke anajua kabisa unachokitaka sio kwamba hajui.
So usirudie kama tenzi za rohoni..
Akikuomba tena mpe na usimuombe K wala kumuita sehemu.
Kumbuka wewe unawinda kuwa na subira inawezekana huyo ndie atakuzalia watoto wengi tu na huyo huyo akawa msaada katika maisha yako.
Siku nyingine atakuomba tena 5k maana ashajua kuwa ndio pesa unayomudu kumpa. Mjibu vizuri tu kuwa kuna kazi unamalizia utamrekebishia asihofu.
Ukifika mara tatu unamtumia elfu 5
Basi muendee mazima ili aliwe na mbinu yenyewe ni hii hapa........()
Anaetaka nifungue hayo mabano anitagi tu hapa.
Weee naona kbsaa hapa napigwa vizuri.We tuma tu bwana,maisha magumu siku hizi huenda kweli kakamatika ? Wewe ndio unamjua vizuri ππ
Marehemu Mangwea alikuwa akijibishana na Mchizi Mox.Kuna muimbaji aliwahi Kuimba,,,,,,,kuchora,kuchora kitu Gani unaweza ukachora na Bado usione ndani!
Mpk sasaiv sijibiwi sms πWanasemaga mdada anaekuomba hela mda mfupi baada ya kumtongoza hakupendi, ila mm kwa uzoefu wangu kuna wadada walikuwa Wananipiga hivyo vizinga vya mda mfupi baada ya kuwatongoza na vya mara kwa mara.
Na kwenye talking stage wanaonesha ishara za kutaka kuwa kwenye uhusiano na mimi, kimaneno na kimatendo sasa nakua sielewi elewi..
Na ni wajanja kweli, ukiwapotezea wanajua kabisa kuwa umewanunia sababu wanakuomba hela mara kwa mara π Fanton Mahal Sonko Bibo Melancholic Equation x
*****ππsasa ukitongoza si utapewa mkeka wa Kodi, umeme, maji, chakula, vocha, nywele, vikoba,Ni noma sana mkuu,,hawa watu watatuua,,na hapa hata bado sijamtongoza nimechukua namba tuuπππ
Ushawahi kusikia paid in full?*****ππsasa ukitongoza si utapewa mkeka wa Kodi, umeme, maji, chakula, vocha, nywele, vikoba,
Yes asante studio huu wimbo pia, unamfaa pia mleta uzi ajue hayupo peke yake anaeombwa Helaπ€£π€£ ngoja siku aje akutane na hili BATOMarehemu Mangwea alikuwa akijibishana na Mchizi Mox.
View: https://www.youtube.com/watch?v=HnxPH0z6zZc
Tulia kimya kabisa,, Kisha baada ya siku mbili mpigie simu.Mpk sasaiv sijibiwi sms π
Sijui kachukia au la!
Kesho nawaza nimtafute au nimpotezee mpka kesho kutwaaπππ