deal ambalo kubwa ushawahi kupata ntakupa mara tano yake weka deal.karibuUna ela ya kunipaa mimi ww lol
sijui nikutusi kidogoBora sisi tunajijuaa ndo maana tupo makini nyie hamjui ndo maana mnajiachaa mnanukaa kama ngondaa
pesa ipo, by the way nifuate pmUna ela ya kunipaa mimi ww lol
Mkuu, kweli unataka tusugue mbupu? Unajua jinsi gani zilivyo delicate? Yaani kwa jinsi zilivyokuwa soft halafu tusugue na dodoki tena kwa nguvu, hutupendi na wala hutaki ulalwe vizuri...kwanza my dear wakubali kwanza kuwa huko chini hawapakumbuki and most of them wakioga wanajimwagiaa tu maji then wanasepaa they dont use brush kujisuguaa wao ni mbio mbio tu tena usiombe ukutane na mfanya biashara asiyekaa ofisini doooh and kuhusu sisi wanawake unajuaa kabisa wanaume wanajifanyaa hawanaga tym na wake zao wakiwa nyumban ndo maana wanaawachaaa
😂😂Teh teh teh teh 🤣🤣🤣 we ni noma! 👊👊👊.TZ kuna watu milioni 55, tuanze kukokotoa.
milioni 10 wazee.
milioni 15 watoto, miaka 17 kurudi nyuma.
milioni 20 wanawake.
milioni 15 wanaume, hapa tutatoa milioni 5 ya wanaume wenye matatizo mbalimbali ambao kwa namna moja au nyingine utashindwa kufikia gololi zao, kwahiyo watabaki milioni 10 ambao ni marijali.
tuchukue 90% ya milioni 10....
90%/100 x 10000000 = 9,000,000
number don't lie, asilimia 90 ya milioni 10 ni milioni 9........kwahiyo dada yangu hiyo risechi yako ulifanya kwa watu milioni 9??????????
Mtaro au kengeleee chaaa
Chakula unajipikia mwenyewe? Nguo unajifulia mwenyewe? Vyombo unaosha mwenyewe? Nyumba unasafisha mwenyewe?Hiyo ndio kazi yenu kabla ya 6 kwa 6 mnaleta ka taulo unasafisha vizuri pana kuwa fresh nitafute pesa nikupe nikusugue halafu ushindwe kusafisha makende yangu kweli?
Hoja zako zina mashiko ila kumuangalia mme wako ni wajibu wakoChakula unajipikia mwenyewe? Nguo unajifulia mwenyewe? Vyombo unaosha mwenyewe? Nyumba unasafisha mwenyewe?
Ni wajibu wangu kama simsaidii kutafuta pesa wala kuhudumia familia ila ndoa za siku hizi ambazo mwanaume na mwanamke wote tunagangamala na maisha mchana kutwaHoja zako zina mashiko ila kumuangalia mme wako ni wajibu wako
Kweli nakubaliana naweNi wajibu wangu kama simsaidii kutafuta pesa wala kuhudumia familia ila ndoa za siku hizi ambazo mwanaume na mwanamke wote tunagangamala na maisha mchana kutwa
Usiku tunarudi tumechoka bado tena mnataka tukirudi tuanze kuwaangalia nyie? Na sisi nani anayetuangalia sasa?
Maana kama ni pesa wote tunatafuta na familia wote tunahudumia kwa sababu inaonekana wanaume wa siku hizi mmeshindwa kufanya hayo peke yenu sasa na sisi tunaporudi tumechoka nani atuangalie?
Hapo ndipo mnapofeli mwanamke anayetakiwa kumuangalia mumewe ni yule ambaye anashinda tu nyumbani anasubiri kuhudumiwa na mumewe hatafuti pesa wala kuhudumia familia ila sisi wengine mtakuwa mnatuonea tu
Naomba unihonge bure sitaki hata senti yako nakuta wewe kama wewe muda wote nipo tayari ni wewe tuNdo nimefunguliwaaaa.....busy busy na maishaa natafutaa hela ya kuhonga wanaume manake sisi ndo wanaume siki hizi