Hivi wanaume mnakwama wapi jamani??

TZ kuna watu milioni 55, tuanze kukokotoa.
milioni 10 wazee.
milioni 15 watoto, miaka 17 kurudi nyuma.
milioni 20 wanawake.
milioni 15 wanaume, hapa tutatoa milioni 5 ya wanaume wenye matatizo mbalimbali ambao kwa namna moja au nyingine utashindwa kufikia gololi zao, kwahiyo watabaki milioni 10 ambao ni marijali.
tuchukue 90% ya milioni 10....
90%/100 x 10000000 = 9,000,000
number don't lie, asilimia 90 ya milioni 10 ni milioni 9........kwahiyo dada yangu hiyo risechi yako ulifanya kwa watu milioni 9??????????

Hivi ile sheria ya takwimu bado ipo?
 
Ukiwa kama mwanamke basi tambua ilo ni jukumu lako kumuweka mumeo au mpenzi wako katika hali ya usafi na siyo kulalamika.
 
Ukiwa kama mwanamke basi tambua ilo ni jukumu lako kumuweka mumeo au mpenzi wako katika hali ya usafi na siyo kulalamika.
Kwa sababu gani? Kwa sababu mwanaume ndo anahudumia au? Na vipi kama mwanamke ndo anahudumia?
 
Back
Top Bottom