Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,402
- 58,951
@Mambembe
Shost watu wa aina hiyo ndo level zako
Shost watu wa aina hiyo ndo level zako
PM yangu haisomi mkuuVipi mbona pm hujibuuu
kuja tu mamalai utafurahiHahahaha hamna afadhali
TZ kuna watu milioni 55, tuanze kukokotoa.
milioni 10 wazee.
milioni 15 watoto, miaka 17 kurudi nyuma.
milioni 20 wanawake.
milioni 15 wanaume, hapa tutatoa milioni 5 ya wanaume wenye matatizo mbalimbali ambao kwa namna moja au nyingine utashindwa kufikia gololi zao, kwahiyo watabaki milioni 10 ambao ni marijali.
tuchukue 90% ya milioni 10....
90%/100 x 10000000 = 9,000,000
number don't lie, asilimia 90 ya milioni 10 ni milioni 9........kwahiyo dada yangu hiyo risechi yako ulifanya kwa watu milioni 9??????????
Kwa sababu gani? Kwa sababu mwanaume ndo anahudumia au? Na vipi kama mwanamke ndo anahudumia?Ukiwa kama mwanamke basi tambua ilo ni jukumu lako kumuweka mumeo au mpenzi wako katika hali ya usafi na siyo kulalamika.