Hivi wanatongozaje kwa kutumia pesa?

Hivi wanatongozaje kwa kutumia pesa?

GENTAMYCINE

Nakubaliana na wewe kabisa ushawishi kwanza ikijumlisha na pesa vinginevyo hela italiwa huku kudai huwezi kushitaki huwezi.Ila umeharibu komenti yako kwa lugha ya kashfa na kejeli.
 
Last edited by a moderator:
Ukitumwa dukani kwenda kununua unga huwa unafanyaje?

Si unauliza kwanza kama unga upo au la?

Mkuu umeanza pointi yako vizuri sana ebu funguka zaidi watu tupate elimu.Siamini kama mtu unaweza kutoa hela kwanza kabla ya maombi.Nadhani upinzani ukiwa mkubwa ndo rupia inapenyezwa.
 
Evelyn Salt
Ok ok ok mie nilikua najua hayo ya kukutoa kwa lunch, outing, shoping,vocha n.k. nibaada ya kuwa nimeshakubaliwa,sasa hii si ni sawa na bahati nasibu.

Nikikutendea hayo yote afu ukanitolea nje si itakua soo? Hofu hapa ni kwamba kama mtu hujampa neno anakula lunch,anatoka out anapokea vocha halafu tunda hatoi hadi utongozaji wa kawaida ufanyike.
 
Last edited by a moderator:
Only in africa sababu ya poverty na unemployment,Uku mtoni kila mtu anatumia pesa yake na kujilipia,hakuna kuombana pesa,da bado mnasafari ndefu kufikia true love
 
lee van cliff

Huyo sasa kaamua tu kukufanya buzi hana mpango wa kukupa na kuna kitu "mvuto" pia hata uhonge vipi kama hujamvutia mtu basi tenaa stimu haziji kabisa nyege za kutafuta na darubini sa si michosho tu bora nichukue vyako nile kona...
 
Last edited by a moderator:
Asalaam aleikhum wadau wa MMU.
Huwa najiuliza bila kupata majibu.Nimesikia wengi wakisema "hapendwi mtu inpendwa pochi" na maneno kama mwanamke anaangalia pesa ya mwanaume sio sura".Hapa ndipo ninapopata suida.Je ukimtaka mdada kwa kutumia pesa unamwita halafu unampa pesa kisha atakupa "utamu"? Au unamwomba kwanza Utamu akikataa ndo unaidhinisha ruzuku? Kitu nisichojua unatongoza kwanza ukikataliwa ndo unaingiza nguvu ya pesa? Au unaingiza nguvu ya pesa kwanza baadae ndio unaomba tunda? Na je? kama ukitoa pochi kwanza alafu mtu akala afu asitoe utamu utafanyaje?. Sio utani ni jambo ambalo linanichanganya sana.Nisaidieni tafadhari.

Nenda Jolly club au mtaa wa Ohio utapata majibu yote!!
 
Eve umeongea vizur..pesa inaweza kutumiwa indirectly na ikaleta matokeo..mjini watu wanakoma name swagg bans pesa peke take haina issue
 
Mdau hawa wote wanakuzingua tu kwa mawazo yao,huwezi tanguliza pesa kwa mwanamke ambae hujamtongoza labda awe malaya,pili utamtoaje mwanamke out hujamtongoza,cha kufanya tafta demu unaempenda rusha ndoano,hakichomoa kausha ila husiache jipitisha mara kadhaa kwake akuzoee uku umeshine,next time mwombe kumtoa out.

Tena bila kumkumbushia mambo ya kumtongoza, akikubali kutoka na wewe kama unampunga hapo ndo mwanzo wa pesa kuongea badala yako,ila kumbuka kuusoma mchezo vingnevyo atakutoboa mpaka kila kitu kikudondoke mana wengine majambazi kama huyo mdada anayedai atakuchuna ila kibox-manyoya atawapa wapapase wengine.wewe utakuwa mwanachama wa chaputa daima dumu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom