Hivi wanatongozaje kwa kutumia pesa?

Hivi wanatongozaje kwa kutumia pesa?

ukiniuliza unipe sh ngp nikupe ntakumind mnoooo....ok cha kufanya ni hivi...niite mahali pazuri zuri, piga story mchanganyiko tu zisiwe za tongozo wala kujisifia sifia kifamba ooh mara una gari mara.nini utaniboa acha nile ninywe tena unanichombeza na vineno mshenzi "feel free eva agiza unachotaka" clear bill tukuagana ntoe hela baadae unapiga.kasimu kujua kama nmefika asbh unatuma kivocha hv siku nyingine ukiniita ntaanzia wapi kukataa??? mdogo mdogo hvo hvo siku ukiniita rum najileta ila make.sure una mvuto sio unajiweka kama sanamu udhani ntakupa ntakuchuna.tu watakula wenzio....
huo ni mfano wa.namna ya kuacha pesa iongee unaezazidisha viufundi uchwara vya kunipeleka shopping n.k n.k

halafu ww itabidi nikutafute hadi nikugonge...wallah
 
Ukiwa na pesa huna haja ya kuongea maneno mengi nina uhakika ukiweka miadi na mwanamke kwa asilimia zaidi ya 90 lazima atokee. Labda awe na pesa kukuzidi.
 
lee van cliff
Is this worthy a discussion?what a rubbish nyie ndo mnajaza server tu kwa upuuzi kama huu
 
Last edited by a moderator:
ww hujaelewa topic...U.ME.KU.RU.PU.KA.

Nani kakudanganya? Huyo atakuwa anakurupuka kwa kumvaa mwanamke hovyo hovyo...unatakiwa kumchunguza mwanamke either kwa watu wakaribu unaowafahamu...hauwezi kukurupuka from no where kwenda kumvaa mwanamke bila kujenga connection ya kitu kwa wale wanaojitambua...kinyume cha hapo huyo ni hulka ya mtu kutoa papuchi kwa ajili ya pesa..
 
Evelyn Salt
Pesa ndo nini?kama wanataka pesa waolewe na mabenk,piga domo braza pesa yake matumizi
 
Last edited by a moderator:
Mbona simple, cha kufanya wewe weka swaga la kuonyesha kuwa una hela, baada ya hapo, watajitongozesha wenyewe. Wanawake wengi ni wazuri sana kwa kusoma alama za nyakati.
 
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom