lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,484
Asalaam aleikhum wadau wa MMU.
Huwa najiuliza bila kupata majibu,nimesikia wengi wakisema "hapendwi mtu inapendwa pochi" na maneno kama mwanamke anaangalia pesa ya mwanaume sio sura".Hapa ndipo ninapopata shida.
Je ukimtaka mdada kwa kutumia pesa unamwita halafu unampa pesa kisha atakupa "utamu"au unamwomba kwanza Utamu akikataa ndo unaidhinisha ruzuku.
Kitu nisichojua unatongoza kwanza ukikataliwa ndo unaingiza nguvu ya pesa, au unaingiza nguvu ya pesa kwanza baadae ndio unaomba tunda.
Na je kama ukitoa pochi kwanza alafu mtu akala afu asitoe utamu utafanyaje. Sio utani ni jambo ambalo linanichanganya sana.
Nisaidieni tafadhari.
Huwa najiuliza bila kupata majibu,nimesikia wengi wakisema "hapendwi mtu inapendwa pochi" na maneno kama mwanamke anaangalia pesa ya mwanaume sio sura".Hapa ndipo ninapopata shida.
Je ukimtaka mdada kwa kutumia pesa unamwita halafu unampa pesa kisha atakupa "utamu"au unamwomba kwanza Utamu akikataa ndo unaidhinisha ruzuku.
Kitu nisichojua unatongoza kwanza ukikataliwa ndo unaingiza nguvu ya pesa, au unaingiza nguvu ya pesa kwanza baadae ndio unaomba tunda.
Na je kama ukitoa pochi kwanza alafu mtu akala afu asitoe utamu utafanyaje. Sio utani ni jambo ambalo linanichanganya sana.
Nisaidieni tafadhari.