Don Draper
Senior Member
- May 30, 2012
- 176
- 87
Ukikutana nao nje ya nchi wana confidence za kufa mtu. wakiwa kwao hawataki longo longo na kama hawaelewani watapigana mikwaju kisha wanadeliver
sisi tuna watu wengi zaidi, rasili mali nyingi zaidi, wanasiasa wengi zaidi, vyama vya siasa vingi zaidi, magazeti mengi zaidi, JF ndio zaidi, cabinet yetu kubwa kuliko ya kwao, katiba yao (na mahakama ya kadhi ndani) ndio walipitisha, sasa kwa nini hawa wana deliver na sisi hatuna kitu?
I've tried to hate them lakini nimeshindwa, cant hate their ambition esp based on their national interest.
Ukikutana nao nje ya nchi wana confidence za kufa mtu. wakiwa kwao hawataki longo longo na kama hawaelewani watapigana mikwaju kisha wanadeliver
sisi tuna watu wengi zaidi, rasili mali nyingi zaidi, wanasiasa wengi zaidi, vyama vya siasa vingi zaidi, magazeti mengi zaidi, JF ndio zaidi, cabinet yetu kubwa kuliko ya kwao, katiba yao (na mahakama ya kadhi ndani) ndio walipitisha, sasa kwa nini hawa wana deliver na sisi hatuna kitu?
I've tried to hate them lakini nimeshindwa, cant hate their ambition esp based on their national interest.
Nyie wavivu sana kufanya kazi, nenda kwenye mashirika yenye wakenya hapa Tanzania utakuta wabongo wanalia lia eti wanaonewa! mmekalia uvivu tu
​Hivyo vya Blue ndo walivyotushinda.
Wako kikazi zaidi na si wavivu wa kufikiri kama Wabongo wengi tulivyo, hawaruhuru watu wengine wafikirie badala yao. Bora umeliona hilo!!!
Wanajiamini. Wanathubutu hata kama wengine wana uwezo mdogo katika mambo. Lakini nafikiri zaidi ni suala la malezi: wamelelewa katika mfumo wa kibepari - mfumo wa ushindani. Kwa hiyo wao wanachowaza ni kufaulu, kuwa mbele, kuwazidi wengine, nk. Kila mmoja anakuwa na bidii na nia ya maendeleo.
fikra za ujamaa na uswahili mwingi. Maendeleo hayaji kwa lelemama, yanahitaji kujituma. Lets be serious, otherwise ni aibu tupu. Hivi nchi hii Mungu ametupa kila kitu tunaweza kumlaumu nani kwa umaskini na aibu hii. Nipo nje ya nchi na ninapokutana na watu ukiwaambia umetoka tz, they associate it na umaskini, what a shame. Leaders ndio kila wakati kuzurura kuombaomba wakati sisi ndio tungetakiwa kuombwa.
Kinachotokea tanzania ni kwamba kutakuwa na tabaka la wale walio matajiri kutokana na juhudi zao, na lile la umaskini wa kutisha ambao wataendelea kulaumu kila mtu kwa hali zao. And then there will be a fight between. Kwakuwa tabaka la juu litakuwa na nguvu, wajipanga kujihami kama ilivyo marekani, mabunduki kila mahali
Ujamaa ulikuwa na faida nyingi sana kuliko unavyofikiri wewe. Hata kiswahili ni lugha inayotuunganisha. Tatizo hapa ni watu kukosa uzalendo. Hasa nyie mnaoenda nje ya nchi hamkumbuki nyumbani.
Ujamaa ulikuwa na faida nyingi sana kuliko unavyofikiri wewe. Hata kiswahili ni lugha inayotuunganisha. Tatizo hapa ni watu kukosa uzalendo. Hasa nyie mnaoenda nje ya nchi hamkumbuki nyumbani.
Mi bado sijashindwa bado napambana labda wewe wamekushinda