Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,602
- 4,266
Waganda ni kama walokole tu... Wale walokole haswa acha hawa wanaookolewa na kina zumaridiWaganda ni watu wanaojisikia sana na kujiona wako class tofauti na watu wengine wa east Africa, ndio maana sio jamii forum peke yake bali hata kwenye maisha ya kawaida Waganda hawachangamani sana na wengine kama vile sisi wa TZ tunavyojichanganya na wakenya...