Waganda ni watu wanaojisikia sana na kujiona wako class tofauti na watu wengine wa east Africa, ndio maana sio jamii forum peke yake hata kwenye maisha ya kawaida Waganda hawachangamani sana na wengine kama vile sisi wa TZ tunavyojichanganya na wakenya...
Mkuu mbona unaenda nje ya mada,hapa tunazungumzia waganda wewe unaleta masifa ya wakenya...!
Waganda ni watu wanaojisikia sana na kujiona wako class tofauti na watu wengine wa east Africa, ndio maana sio jamii forum peke yake hata kwenye maisha ya kawaida Waganda hawachangamani sana na wengine kama vile sisi wa TZ tunavyojichanganya na wakenya...
Asikudanganye mtu Wabanganda hawawapendi Watanzania na Kiswahili kwa ujumla! Wote niliopata kukutana nao wanadai Nyerere aliwadhulumu kwa kuwa rafiki wa Obote na kuwanyima fursa ya kuitawala Uganda kama kabila kubwa. Pia wanaichukia TPDF na mtoto wake UPDF! Kingine suala la Uganda ku-support infrastructure kuja Tanzania ina sura nyingi! Na imetokana na topographic nature na geopolitics of the region!Nadhani ni swala la publicity kwa jf. Waganda wanaipenda na kuikubali Sana Tz. Labda hawaijui JF.
Ukifatilia mijadala yao hasa tension waliyonayo na PK sasa, investment kwenye infrastructure and FDI always waganda wanaji side na Tz.
Hatuendani mengi nao, lugha, nkKwa nini waganda siyo wengi jamii forums au hawafahamu kuwa kuna jf inayo zungumzia maswala ya Africa mashariki tatizo nini maana hapa EA news hata kingereza kinatumika ?
Mimi mkenya hapa na sijapata kuelewa kinachozungumziwa kuhusu wakenya 😂Ngoja wazungu wenzao wa Kenya waje watujibu tatizo nini maana waganda na wakenya wanajuana sana waganda wengi wanaenda kenya
Hiyo si sababu ya msingi, Bali ni mtazamo wako.
Waganda ni wenye aibu sana. Kwao siyo rahisi kujichanganya na wengine.
Wanajiona cake afu masiikini tuWaganda ni watu wanaojisikia sana na kujiona wako class tofauti na watu wengine wa east Africa, ndio maana sio jamii forum peke yake bali hata kwenye maisha ya kawaida Waganda hawachangamani sana na wengine kama vile sisi wa TZ tunavyojichanganya na wakenya...
Wanaogelea kwenye tope siku wakifika beach hawarudi huko matopeniFukwe Uganda