Hivi wadau wa soka Bongo hatuna kumbukumbu?

Hivi wadau wa soka Bongo hatuna kumbukumbu?

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,334
Reaction score
12,466
Juzi palikuwa na msiba wa mzee Ally Pazi Samatta,,media zote zilitoka na kumuaddress kama baba mzazi wa Mbwana Samatta it's true but hamna anaekumbuka kuwa mzee Samatta ni gwiji mstaafu wa soka la nchi hii?
Amekuwa kamptain wa Simba na Taifastars for more than 5 years hilo halikuzungumziwa..amekua coacher wa African lion pia..

NB.Simba na Tff hata kumpost legend wao hawakuweza
 
Juzi palikuwa na msiba wa mzee Ally Pazi Samatta,,media zote zilitoka na kumuaddress kama baba mzazi wa Mbwana Samatta it's true but hamna anaekumbuka kuwa mzee Samatta ni gwiji mstaafu wa soka la nchi hii?
Amekuwa kamptain wa Simba na Taifastars for more than 5 years hilo halikuzungumziwa..amekua coacher wa African lion pia..

NB.Simba na Tff hata kumpost legend wao hawakuweza
Hao tff, wanakumbukumbu kweli kwenye hizo droo zao.
 
Kumbukumbu zitoke wapi kwenye media za kusifu na kuabudu, maana walikazana kumuadress kama mzazi wa Sammata, wangetaja jina la Pazi hata mimi nisiyefatilia soka ningekumbuka!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom