Ama kweli maisha ni kuchagua
Kuna jambo nimeliona chini ya jua, kwangu naliita ni ubatili na kujilisha upepo
Unakuta mmezaliwa sita ndani ya familia
Wote mmelelewa malezi sawa katika mazingira sawa. Cha ajabu mmoja ndo anatokoea kuwa mwajibikaji
Anapenda kujituma, Mwenye bidii na
Anajitoa Sana kwa mambo ya wenzake
Ila wengine, wao ni much knower....
Wabinafsi , wapenda bata
Sasa Kama mjuavyo kwenye issue za familia majukumu ndo wimbo wa familia
Kwa mtego him, yule ambaye ana sifa ya uwajibikaji anajikuta zigo limemuangukia.
Masikni ya Mungu, anajitahidi kwa mengi ila progress yake binafsi haionekani coz kingi amewekeza kwa familia na ndgu zake
Ila wale wala bata coz ni wabinafsi chochote wanachofanya ni kwa maslahi yao binafisi, so in reality huonekana wana vitu tangible.
Mwisho wa siku uonekana wajanja na full dharau hata kwa ndgu yao mwajibikaji
So wadau kwenye maisha haya ipi ni philosophy nzuri kuamua kuiishi
Ujifanye mwajibikaji... Uambulie kutupiwa majukumu na lawama au uwe kauzu upambane na hali yako tu ???
Kuna jambo nimeliona chini ya jua, kwangu naliita ni ubatili na kujilisha upepo
Unakuta mmezaliwa sita ndani ya familia
Wote mmelelewa malezi sawa katika mazingira sawa. Cha ajabu mmoja ndo anatokoea kuwa mwajibikaji
Anapenda kujituma, Mwenye bidii na
Anajitoa Sana kwa mambo ya wenzake
Ila wengine, wao ni much knower....
Wabinafsi , wapenda bata
Sasa Kama mjuavyo kwenye issue za familia majukumu ndo wimbo wa familia
Kwa mtego him, yule ambaye ana sifa ya uwajibikaji anajikuta zigo limemuangukia.
Masikni ya Mungu, anajitahidi kwa mengi ila progress yake binafsi haionekani coz kingi amewekeza kwa familia na ndgu zake
Ila wale wala bata coz ni wabinafsi chochote wanachofanya ni kwa maslahi yao binafisi, so in reality huonekana wana vitu tangible.
Mwisho wa siku uonekana wajanja na full dharau hata kwa ndgu yao mwajibikaji
So wadau kwenye maisha haya ipi ni philosophy nzuri kuamua kuiishi
Ujifanye mwajibikaji... Uambulie kutupiwa majukumu na lawama au uwe kauzu upambane na hali yako tu ???