GODLIVER CHARLE
Member
- Mar 2, 2011
- 86
- 20
Hi ndg zanguni wana Jf.
Basi jioni ya leo nilikuwa na rafiki yangu, mara punde ikaingia msg kutoka kwa mchumba wake (wa kike) ikisomeka hivi "poa usijali mungu atakutangulia baby" ghafla rafiki yangu akabadilika ghafla naye kumuuliza kulikoni ndo akanionesha hiyo msg. Nikamuuliza tatizo ni nini si ni wife (maana amemsave WIFE) ndo kakutumia nini tatizo?
Akajibu "tuliwasiliana naye mchana ila msg inaonesha ni mazungumzo yanayoendelea, je tutakuwa tuko wangapi tunaitwa baby?" Nikamwambia calm down atakuwa amekosea na tena huenda alikuwa anamtumia msichana mwenzie au mligombana au ulishamkutaga na dalili ya kukusaliti? akajibu "hapana lakini... kwanini?"
nikamwambia "wewe mpigie simu mwambie tu nashukuru kwa msg yako nimeipata" na akakubali
na alivyompigia bint alikuwa hakujua kwamba alikosea na kuituma kwake ndo akamuuliza na kumuomba amfowardie iyo msg na kaka alivyomfowardia dada akasema samahani nilikuwa namtumia rafki yangu Loveness yuko njiani anakuja kumbe nilikosea ikaja kwako, pls baby..
SWALI LANGU KWENU WADADA NA HATA NA KWA WAKAKA PIA: IKIWA NI WEWE NDO YAMEKUTOKEA UNGEELEWAJE NA NINI UNGEKIFANYA? JE NINYI AKINA DADA NI VIZURI KWELI HATA KAMA WENYEWE KWA WENYEWE MNAITANA YALE MAJINA YETU YA SWEET, HONEY, MY LOVE N.K? JE MNATUFICHA NINI SISI WAPENZI WENU WA KIUME ENDAPO TUNAKUTA/KUPATA MSG KAMA HIZO ZILIZOTUMWA TO THE WRONG INTENDED NUMBA?
Basi jioni ya leo nilikuwa na rafiki yangu, mara punde ikaingia msg kutoka kwa mchumba wake (wa kike) ikisomeka hivi "poa usijali mungu atakutangulia baby" ghafla rafiki yangu akabadilika ghafla naye kumuuliza kulikoni ndo akanionesha hiyo msg. Nikamuuliza tatizo ni nini si ni wife (maana amemsave WIFE) ndo kakutumia nini tatizo?
Akajibu "tuliwasiliana naye mchana ila msg inaonesha ni mazungumzo yanayoendelea, je tutakuwa tuko wangapi tunaitwa baby?" Nikamwambia calm down atakuwa amekosea na tena huenda alikuwa anamtumia msichana mwenzie au mligombana au ulishamkutaga na dalili ya kukusaliti? akajibu "hapana lakini... kwanini?"
nikamwambia "wewe mpigie simu mwambie tu nashukuru kwa msg yako nimeipata" na akakubali
na alivyompigia bint alikuwa hakujua kwamba alikosea na kuituma kwake ndo akamuuliza na kumuomba amfowardie iyo msg na kaka alivyomfowardia dada akasema samahani nilikuwa namtumia rafki yangu Loveness yuko njiani anakuja kumbe nilikosea ikaja kwako, pls baby..
SWALI LANGU KWENU WADADA NA HATA NA KWA WAKAKA PIA: IKIWA NI WEWE NDO YAMEKUTOKEA UNGEELEWAJE NA NINI UNGEKIFANYA? JE NINYI AKINA DADA NI VIZURI KWELI HATA KAMA WENYEWE KWA WENYEWE MNAITANA YALE MAJINA YETU YA SWEET, HONEY, MY LOVE N.K? JE MNATUFICHA NINI SISI WAPENZI WENU WA KIUME ENDAPO TUNAKUTA/KUPATA MSG KAMA HIZO ZILIZOTUMWA TO THE WRONG INTENDED NUMBA?