Hivi wa baba huwa mnajisikiaje?

Hivi wa baba huwa mnajisikiaje?

Aisee inaumizaa sana.najiwazia nnavyompenda binti yangu Mwenyezi Mungu amuongoze maana ikitokea sijui nitakachofanya.

Kama baba ulikuwa muhuni muhuni binti lazima wahuni wamfaidi au uwahi kufanya toba na maagano yasifike kizazi chako mpaka cha 4
 
Ngoja waje...

Ila kama mzazi utasikitika sana na utashangaa nini kimempata mwanao... labda kama na wewe mzazi una umri mkubwa alafu unatembea na vibinti...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom