my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,402
Hivi wa baba mnajisikia vipi unapofahamu mtoto wako wa kike under 18 ameanza kufanya mapenzi?Halafu a nafanya na wanaume ambao wakubwa sana kwake sio wa level yake? Huwa mnajisikia aje?
na wewe m mama unajisikia aje?Wababa mnaitwa.
So unaona sawa tu? 😂 Na je mfano akipata mimba akiwa under 18 unafanya nini?I hope anafuata nyendo za mama yake maana nilianza kumdegeda mama yake pia ukiwa under 18 ::: TUNDA SAWASAWA NA MTI
bado sjafikia huko nikifika naweza kua na majibu kwa wakat huo kwa wakat huu sina jibuna wewe m mama unajisikia aje?
Nimependa jibu lako. Ila sie akinababa ukijua mtoto wako amebikiriwa ni majanga. Kuna ndugu yangu alimkuta jamaa anakula denda na binti yake 24 years akatenganisha kiwiliwili sasa yupo lupango na binti yake ana boyfriend mpyabado sjafikia huko nikifika naweza kua na majibu kwa wakat huo kwa wakat huu sina jibu
mh Mungu atunusuru na vizazi vyetuNimependa jibu lako. Ila sie akinababa ukijua mtoto wako amebikiriwa ni majanga. Kuna ndugu yangu alimkuta jamaa anakula denda na binti yake 24 years akatenganisha kiwiliwili sasa yupo lupango na binti yake ana boyfriend mpya
Ila tunatakiwa kujilinda na hasira za haraka. Nakumbuka hata iweje huwezi kulala na mtoto wako na lazima kuwa na mtu anayelala naye kama wewe ulivyofaidi k ya mama yakemh Mungu atunusuru na vizazi vyetu
Swali zuri, nataka kujua pia na wale wazee wa "kupiga na kusepa" au "kuzalisha na kuacha" wanajisikiaje kama na watoto wao wa kike nao wanafanyiwa hayo?
Aisee inaumizaa sana.najiwazia nnavyompenda binti yangu Mwenyezi Mungu amuongoze maana ikitokea sijui nitakachofanya.