Hivi vyuo vya kati kuna bata kama vyuo vikuu

KIBUGAmk

Member
Jan 22, 2024
83
130
Tumezoea kusikia kwamba chuo ni bata sana kusoma kidogo na pia chuoni kuna warembo wengi( pisi kali ).sasa nilikuwa nauliza je hayo maneno yana ukweli na kama ni kweli je hali ipo hivyo hata katika vyuo vya kati au ni vyuo vikuu tu like UDOM,udsm etc...
 
Back
Top Bottom