Kw hiyo unataka kusemaje poyoyo wewe.serikali isiwasimamie huko kw sbbu ni shule binfsi.???!!Uzuri ni kuwa kule top 10 wanaingia haohao mnaowasema wanafundishwa na walimu ambao hawana vigezo, na kule mkiani wanakaa ambao wanafundishwa na walimu mnaowaita wenye vigezo
Juzi jamaa yangu ambaye mwalimu Wa English medium amesema jumatatu wapeleke vyeti original vya sekondari,degree na diploma kwani vinahitajika serikalini
Mwenye kujua dhumuni la agizo hili atujuze.
Asante!
Upande wa science na mathematics, private wanachukua watu waliopiga A, B form six.
Na ndio maana wanawachukua wenyee degree ya uandisi na sio wenye degree ya Elimu.
Hapo vichwa vingi vitakatwa.
Mbona kina bashite hawahakikiwi? Mbona Phd hazihakikiwi? Mimi ya kwangu ni ya maganda ya karanga lakini nashangaa wanatusahau. Mbona kwenye uhakiki wa silaha Phd walikwenda na bunduki zao 2 kiunoni??!Swala la uhakiki wa vyeti halina u privatell wala gvt maana kinachoangaliwa ni uhalali wa vyeti katika kutoa huduma nyeti kama elimu na Afya na nyinginezo.
Sisi tuna muelewa hata ukikataa kuelewa ukweli utabaki hivyo huwezi kumpeleka mwanao kwenye shule ya masifuri na kulipa hela yako hizi shule zina jichuja zenyewe nguvu zielekezwe huku kwenye masifuri yapungueUnaongea kitu gani wewe...hata hufahamiki na hii verbal diarrhea yako
Vyeti feki vinatafutwa hadi private sector hukujua hivyoJuzi jamaa yangu ambaye mwalimu Wa English medium amesema jumatatu wapeleke vyeti original vya sekondari,degree na diploma kwani vinahitajika serikalini
Mwenye kujua dhumuni la agizo hili atujuze.
Asante!
Huelewi kitu gani? Kuna taaluma ambazo zimewekewa viwango na wakati mwingine hata usajili. Ualimu, Udaktari, injinia, famasia, nk. Huwezi kujidai uko private wakati una vyeti fake.Juzi jamaa yangu ambaye mwalimu Wa English medium amesema jumatatu wapeleke vyeti original vya sekondari,degree na diploma kwani vinahitajika serikalini
Mwenye kujua dhumuni la agizo hili atujuze.
Asante!
Tafadhari! Usiseme kampuni fulani, tutajie jina ili JF ifanya kazi yake. Nchini kwaohawatutaki kwa nini hapa tuwafiche?Labda hapa wengi hamjui kama lengo ni kupata watu wanje mmesahau ma boss wako radhi wawafiche. Maana kuna company moja najua kabisa foreigners hawsaini daftar.
Kwahyo hata wakisema wapeleke vyeti watapeleka wale raia, maana sometimes ni relief kwa ma boss kwasababu wengine hata hela ya mifuko ya jamii na kodi hawapelekewi na wamerizika
Kwa hiyo we unaona vizuri sana serikali kuwabana private huku shule za serikali zinaendelea kufanya vibaya, kwahiyo huo usinamizi ni kwa private pekee? Hapa hapakufai we endelea tu kumsaidia dadako kukatakata nyanyaKw hiyo unataka kusemaje poyoyo wewe.serikali isiwasimamie huko kw sbbu ni shule binfsi.???!!
Mkuu ungejua kuwa hata private activities bado ziko chini ya uangalizi wa Serikali usingeuliza swali lako. Ndio maana hata ukianzisha Pharmacy au Bucha ya nyama wanakuja kukagua.Juzi jamaa yangu ambaye mwalimu Wa English medium amesema jumatatu wapeleke vyeti original vya sekondari,degree na diploma kwani vinahitajika serikalini
Mwenye kujua dhumuni la agizo hili atujuze.
Asante!
Haha hahaaa.wewe ni mmoja kati ya hao wanaotakiwa kukaguliwa?!@Kwa hiyo we unaona vizuri sana serikali kuwabana private huku shule za serikali zinaendelea kufanya vibaya, kwahiyo huo usinamizi ni kwa private pekee? Hapa hapakufai we endelea tu kumsaidia dadako kukatakata nyanya