Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,299
- 60,928
Yaniiii😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣Anang'aa huyo kama kitumbua
Yaniiii😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣Anang'aa huyo kama kitumbua
Kazi ipii?Wapewe Ulinzi kabisa,Kwa maana hiyo ni nyenzo daraja la kwanza,inarahisisha sana kazi





Eti nyenzo ha ha haWapewe Ulinzi kabisa,Kwa maana hiyo ni nyenzo daraja la kwanza,inarahisisha sana kazi
Ishi sana mkuu.Ndevu za kidevuni ni mahsusi kwa kuzamia uvinza, zinachomachoma hivi.
Huu ndio urithi pekee tulionao.🤣🤣
🤣🤣🤣🤣si ndo sisi mnatuita 'fine boys' mnatulea
sema kweli?kwahio nikanyoe?Ko zikiwa zinachoma, ndo zinaleta stimu? Mbna ndo zinakata nyege zote.
![]()
Sisi tusiokuwa nazo tunasuburia fashion ipite tuanze kusumbua...Muwe mna vi prone basi...visichachamae sana vinatutisha mnakuwa kama Alshabaab au Boko Haram..
Hongera zenu mnaojua kuvisawazisha vizuri halafu vinywele viwe na texture ngumu hakika mnaupiga mwingi...
Ushimen shemeji wewe nakukodia trekta pale Kubota waje wazikate🤣🤣
View attachment 2748516
ZinatekenyaKo zikiwa zinachoma, ndo zinaleta stimu? Mbna ndo zinakata nyege zote.
![]()
Kidevu kipo kama Apple eti 🤣na sisi wenye babyface tufanyeje😆
Kuna dawa ya kukuza ndevu na kutoa uwalaza, hebu sema uambiwee.Sisi tusiokuwa nazo tunasuburia fashion ipite tuanze kusumbua...
njoo uninyoe baskanyoe nionee.
Khaaaahnjoo uninyoe bas
In case una experience… zina balaa lakehapanaa, wanavumilia tyuuh ila zinawachubua huko.
😁😁Khaaaah