Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 22,681
- 54,501
Kakimbizeni ringina sisi wenye babyface tufanyeješ
mwanaume mashine.Kakimbizeni ringi
si ndo sisi mnatuita 'fine boys' mnatuleaMnyongwe tu.š
Wanawake hamjawahi kueleweka hata so mimi huwa sijipi stress kuwaelewa maana naweza kuwa na uchebe na bado ukaniona sifai.Shauri Yako we kaa na kakidevu chako keupe uone watavyopita na Hela zako halafu akabebishwe mwenye kauchebešš
banned....Hivi Cute Wife aliendaga wapi?
Ndio jambo ambalo.Pambana msimamo wako.
Uchafu wa ndevu unakuja pale ukiwa na matunzo mabovu,,.Mirefuuuu,rangi haileweki,ukila chakula vipande vinadondokea shabashhhhh ...Binafsi napenda mkaka atunze ndevu zake akinyoa kidevu kupata sipendi kabisaNdevu ndio urithi pekee mzee wangu kaniachia,mzee ana ndevu kama osama,.kwa wanawake wengine ndevu uchafu