Hivi viazi vinaitwaje?

Hivi viazi vinaitwaje?

Kukurupuka nini sasa, ndio leo nakusikia wewe kuwa viazi vikuu vinachimbwa chini?

We kwa mtazamo wako vinaitwaje hivyo viazi?
Mwalimu wako alikuwa na shida sana. Kabla ya mkurupuko wako mimi nimestate humu kuwa viazi vikuu vinachimbwa chini?
Hata hivyo ni ndivyo ilivyo.
Humu hatuendi kwa mitazamo kama facts zinawezekana ndio maana mdau mmoja keshatoa jibu sahihi lakini kwa sababu ya uvivu wako bado unabwatabwata huku kulazimisha "jina la mtazamo wako".
 
View attachment 366971


Nimekuwa nikiviona viazi hivi lakini sivijui jina lake.
Tafadhali mwenye jina lake asaidie hapa na kama scientific name ingenoga zaidi.
We kula tu! Si unapenda sana viazi?
 
Kiswahili ni Ndunyasa...,
English air yam or air potato
Scientific name ni Dioscorea bulbifera
Mmea wa hivi unabeba juu (air yam?), pia unabeba chini kama viazi vikuu ila inakua na mizizi mizizi. Vinaitwaje vya chini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom