Hivi utaacha lini hiyo.................

Hivi utaacha lini hiyo.................

..... tabia yako ya kuitika unapoitwa.
 
Jagu.........tabia ya kuishabikia C.C.M wakati wewe ni kijana na ume-elimika?[/QUOTE]

Tabia ya kuchekesha watu...
 
....tabia yako ya kujichekesha kila wakati eti kisa una mwanya.
 
Tabia ya kusali kabla ya kula halafu baada ya kula na kushiba haushukuru.
 
Back
Top Bottom