tabia kwa wanaume kukojoa huku tumeshika uume wetu. Nalog off
Tabia ya kuishabikia chadema na unajua fika ni chama cha kiukoo/kikabila na cha udini? Nalog off.........tabia ya kuishabikia C.C.M wakati wewe ni kijana na ume-elimika?
Tabia ya kufunga zipu ya suruali baada ya kujisaidia.Nalog offtabia ya wanume kuutikisa tikisa uume baada ya kukojoa..
Hatari hiyo.
Tabia ya kuloweka kila siku..........