Hivi ushawahi mchukia mtu?

Hivi ushawahi mchukia mtu?

Itakuwa ashawajua,mpaka kawa Mkufunzi,
Ila mimi nina hamu ya kuwajua wanaume!!
Maana siwajui hata.

Kungekua na Court marshal ya Jf, kwa uzandiki wa hivi namie ndy "Mzee wa hukumu" as a Judge nakupiga kwanza miaka miwili ya uzandiki then ukitoka kesi inaanza upya!
 
Kuna mwanamama mmoja humu namchukia yaani hata siku nikikutana naye anapigana na nyoka mi nitamsaidia nyoka amuume vizuri.....
 
Kuna mwanamama mmoja humu namchukia yaani hata siku nikikutana naye anapigana na nyoka mi nitamsaidia nyoka amuume vizuri.....

yewi naomba tu asiwe mimi... hahahahah lol

mi sijui nikoje kwa kweli ntamchukia mtu kwa muda
halafu mimi mwenyewe ntaenda kusema tuyasuluhishe haya.
huwa sina raha kama namchukia mtu . kwa hiyo napenda kusema
ntapata hasira au kuchukia mtu kwa muda mfupi sana..
 
yewi naomba tu asiwe mimi... hahahahah lol

mi sijui nikoje kwa kweli ntamchukia mtu kwa muda
halafu mimi mwenyewe ntaenda kusema tuyasuluhishe haya.
huwa sina raha kama namchukia mtu . kwa hiyo napenda kusema
ntapata hasira au kuchukia mtu kwa muda mfupi sana..


AD unajua kabisa kuwa wewe siwezi kukuchukia asilani,shaka ondoa mama ila ninayemsema yumo humu na anajijua.......
 
AD unajua kabisa kuwa wewe siwezi kukuchukia asilani,shaka ondoa mama ila ninayemsema yumo humu na anajijua.......

naelewa hilo my dear .....

ingelikuwa leo ni jumatatu ningeomba tuingie chumbani uniambie ni nani???:redface:
bahati mbaya ni jmosi ....:A S cry: lol
 
Ili mtu aniudhi na kunifanya nimchukie lazma kwanza niwe nampenda kiukweli. Ila pia kumchukia mtu kwa muda mrefu ni kuamua kuwa mhanga wake.
To be a victim is a choice, you can choose to be a hero.
 
Nilitokea kumchukia madam mmoja pale shuleni alininyima ruhusa ya kwenda hospitali, tena nilimchukia hasa si mchezo! Yaani mpaka namaliza sikuwahi kumpenda walau hata kimoyo moyo, na mpaka leo nahisi bado namchukia though nina miaka sijamuona!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom