Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,967
- 32,250
I hate Arushaone fullstop.
Baada ya Kukupa Talaka?
Katulia tuli mtoto wa Ara...AraChuga.
I hate Arushaone fullstop.
hommie Madame B ana mwenyewe , yule anayejiita mwanasheria uchwara ruttashobolwa :flypig:
hahahaah!! Bado ugomvi unaendelea?
Mimi kwa upande wangu nishawahi kumchukia mmama mmoja ambaye alikuwa analeta maneno ya uongo kwa mama yangu, kuwa kijino anawanaume ni malaya, kipindi hicho nipo form 1 hata wanaume cwajui, yani nilimchukia, ckuongea naye mpaka anafariki, na hata kwenye mcba ckuenda, ingawa alikuwa ni family friend, ingawa kuna wengine bado nawachukia mno, vp wewe mwana jf, kuna mtu unayemchukia mno?
I LOVE Madame B FULLSPOT AND THATS ALL.
kuna mtu humu namchia ajabu, hata nikiona thread zak nahisi kuboreka!
akutake nani? ! nishakusahau hapa natafuta wa kujiweka kwake, halafu kuna mdada fulani hapa chitchat nampendaga sana, karibuni nitamfungukia...Niniiii!!!
Mwanasheria Uchwara?
Pale nimefika,cjaona mwingine,
au unan'taka?
hahaha, haya bhanaI Love AruRutta,
Full Stop!
Mimi kwa upande wangu nishawahi kumchukia mmama mmoja ambaye alikuwa analeta maneno ya uongo kwa mama yangu, kuwa kijino anawanaume ni malaya, kipindi hicho nipo form 1 hata wanaume cwajui, yani nilimchukia, ckuongea naye mpaka anafariki, na hata kwenye mcba ckuenda, ingawa alikuwa ni family friend, ingawa kuna wengine bado nawachukia mno, vp wewe mwana jf, kuna mtu unayemchukia mno?
@Kìjino dawa ya muongo mkubalie anachosema. hapo utakuwa umemkomoa. . . . .
hahaha, haya bhana
akutake nani? ! nishakusahau hapa natafuta wa kujiweka kwake, halafu kuna mdada fulani hapa chitchat nampendaga sana, karibuni nitamfungukia...
"alikua ananisingizia , wakati mi wanaume hata sijawajua" (COUTE)
Swali - sasa hivi ushawajua ?
"alikua ananisingizia , wakati mi wanaume hata sijawajua" (CUOTE)
Swali - sasa hivi ushawajua ?
Itakuwa ashawajua,mpaka kawa Mkufunzi,
Ila mimi nina hamu ya kuwajua wanaume!!
Maana siwajui hata.