Hivi ushawahi mchukia mtu?

Mimi kwa upande wangu nishawahi kumchukia mmama mmoja ambaye alikuwa analeta maneno ya uongo kwa mama yangu, kuwa kijino anawanaume ni malaya, kipindi hicho nipo form 1 hata wanaume cwajui, yani nilimchukia, ckuongea naye mpaka anafariki, na hata kwenye mcba ckuenda, ingawa alikuwa ni family friend, ingawa kuna wengine bado nawachukia mno, vp wewe mwana jf, kuna mtu unayemchukia mno?

@Kìjino dawa ya muongo mkubalie anachosema. hapo utakuwa umemkomoa. . . . .
 
Niniiii!!!
Mwanasheria Uchwara?
Pale nimefika,cjaona mwingine,
au unan'taka?
akutake nani? ! nishakusahau hapa natafuta wa kujiweka kwake, halafu kuna mdada fulani hapa chitchat nampendaga sana, karibuni nitamfungukia...
 
Mimi kwa upande wangu nishawahi kumchukia mmama mmoja ambaye alikuwa analeta maneno ya uongo kwa mama yangu, kuwa kijino anawanaume ni malaya, kipindi hicho nipo form 1 hata wanaume cwajui, yani nilimchukia, ckuongea naye mpaka anafariki, na hata kwenye mcba ckuenda, ingawa alikuwa ni family friend, ingawa kuna wengine bado nawachukia mno, vp wewe mwana jf, kuna mtu unayemchukia mno?

Mmmh, kizazi cha dot.com!
 
"alikua ananisingizia , wakati mi wanaume hata sijawajua" (CUOTE)
Swali - sasa hivi ushawajua ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom