Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,920
- 31,971
huwezi kuwa wewe, anajijua mwenyewe anafanana na BADILI TABIA....
...Na mie ninaefanana na Cleopatra je?
Last edited by a moderator:
huwezi kuwa wewe, anajijua mwenyewe anafanana na BADILI TABIA....
japokuwa mimi nilikuwa wa kwanza kwako kunjiua, inamaana humjui hata mwanasheria ruttashobolwa?!
Kungekua na Court marshal ya Jf, kwa uzandiki wa hivi namie ndy "Mzee wa hukumu" as a Judge nakupiga kwanza miaka miwili ya uzandiki then ukitoka kesi inaanza upya!
Kuna mwanamama mmoja humu namchukia yaani hata siku nikikutana naye anapigana na nyoka mi nitamsaidia nyoka amuume vizuri.....
badili avatar, avatar yako imekaa kimwanga mwanga...
Energy = Nishati................Nakuunga mkono, na matatizo yote ya nishati nchini kwa nini umpe mtu faida ya bure!!
Namchukia sana mke wangu kwani ameniambia nimtaftie mwanaume wa kumliwaza
mh mimi nini?
jamani mtakatifu paka mweusi usikute miye ndo unanichukia
Ondoa shaka Eversmilin Gal wewe tupo pamoja ni Madame B tu hapa katikati ndiye aliyetaka kunifanya nikussahau...
Namchukia sana mke wangu kwani ameniambia nimtaftie mwanaume wa kumliwaza
Ondoa shaka Eversmilin Gal wewe tupo pamoja ni Madame B tu hapa katikati ndiye aliyetaka kunifanya nikussahau...
hahahahahaha, na Arushaone he love Madame B fullstop
Itakuwa ashawajua,mpaka kawa Mkufunzi,
Ila mimi nina hamu ya kuwajua wanaume!!
Maana siwajui hata.
Heh! Kwani mfano pekee uliouona ni wa mwanga? Hakuna mwingine?
Kubali tu.....
Yaanii inatisha ni full MCHAWI..., MWANGA......
Mmmmmmmmh!!!!!!!!!!
Namchukia sana mke wangu kwani ameniambia nimtaftie mwanaume wa kumliwaza